rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Kwema jaman wandugu, napenda kujua haya yafuatayo kuhusiana na lipa ya Azam pesa.
- Kiwango cha mwisho kutoa pesa n shs ngap???
- Je ukitoa pesa kutoka Azam pesa kupeleka kwenye code ya Azam pesa unapata commission????
- Gharama ya kukwata kutoka mitandao mingine na banks mfano CRDB na NMB ni shs ngapi??? Kwenda Lipa ya Azam pesa.