Namna ya kutambua 'single girls'

Namna ya kutambua 'single girls'

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha kumchonja mwenzako
 
Ilikuwa thread yangu kabisaa lakini mimi nimemuwakilisha mdogo wangu nnaemsomesha.

Kwa sasa yuko University of arusha

Kama huamini njoo unitembelee kwangu ndugu yangu, mi nakaa buguruni
Hongera mkuu kwa kuwa na uwezo kumsomesha mwanafunzi wa chuo kikuu ukiwa na umri wa miaka 27.
 
Au hii msg ni mwk 1990 imekawia kufika? Miaka hii utongoze wasichana 17 Hamna wote wengine wanaishia kukutukana? Au unatumia old syllabus ya kutongoza, mi sikumbuki Mara ya mwisho kuzinguliwa na demi @ nikitongoza nawagegeda na wananilazimisha niwaoe, badilika dogo
Mimi imeniuma kwa kweli imebidi niseme
 
Hivi ndo kuna fungu flani kwenye biblia linasema mwenye nacho huongezewa, sijui Mungu alimaanisha nini. Maana wanaume wengine tulio na wake au wachumba ukitaka mwanamke mwingine ni mwendo wa kugusa tuu, sasa mwingine anahangaika mpaka 17 anatoswa tuu?
 
inaonekama wewe sio gentleman, maana kwa ladies wengi hata kama wana watu wao katika kutongoza ukiwaanzia vizuri huwa wanawakana hao watu wao wanasema wapo single hata kama sio kweli....
Sasa wewe jifunze kuwa gentleman
....

Kwa maelezo zaidi lipia.
 
Chukulia kawaida mwanamke kukwambia yuko na mtu kwa sababu hata huyo single usoni hana alama. Endelea kutafuta na usipende kuweka pesa mbele. Unatafuta mke siyo kahaba. Kazi ya kutafuta mke ni sawa na kuomba kazi ofisini.
 
Acha hizo tafuta hela watakuja wenyewe man.
 
Unatumia kanuni gni unapo togoza mkuu??
Elimu,sharia?Elimu bahari?eElimu dunia?
 
kumpata mwanamke aliye single ni kazi kubwa, cha msingi tafuta namna ya kumkwapua kutoka kwa mtu, yule uonaye ataikidhi haja ya moyo wako...bembeleza hata kama itakuchukua mwaka

kingine inabidi uwe na pussy magnet, katie hata malaya mara mbili tatu utapata hako ka sumaku
 
kumpata mwanamke aliye single ni kazi kubwa, cha msingi tafuta namna ya kumkwapua kutoka kwa mtu, yule uonaye ataikidhi haja ya moyo wako...bembeleza hata kama itakuchukua mwaka

kingine inabidi uwe na pussy magnet, katie hata malaya mara mbili tatu utapata hako ka sumaku
Pusy magnet sio
 
Au hii msg ni mwk 1990 imekawia kufika? Miaka hii utongoze wasichana 17 Hamna wote wengine wanaishia kukutukana? Au unatumia old syllabus ya kutongoza, mi sikumbuki Mara ya mwisho kuzinguliwa na demi @ nikitongoza nawagegeda na wananilazimisha niwaoe, badilika dogo
Sure man
 
Mwanamke hafosiwi anabembelezwa anaonyeshwa mambo adimu kisha anapiga chini fala flani anakuwa na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom