Namna ya kutambua 'single girls'

Namna ya kutambua 'single girls'

Tafuta level zako.
Unavamia level ndio maana shughuli inakuwa kubwa.
 
Habari zenu jamani,

Hii sio mara ya kwanza kuja kuleta thread hapa kuhusu hili swala langu.

Mimi ni kijana umri wangu ni 27, naishi hapa Dar es Salaam ambapo nimeajiriwa katika taasisi fulani hivi, kipato changu si kikubwa na wala si kidogo sana. (angalau kinanisaidia kuishi, japo nipo kwenye nyumba ya kupanga).

Sasa jamani mi niko single mwaka wa tatu huu kutokana na jitihada zangu za kutafuta mwenza kugonga mwamba, nimeshatongoza waschana 17 mpaka sasa lakini kila nnayemtongoza ananambia "mi nina mtu wangu, tunapendana sana". Nikimforce basi naishia kublockiwa na simu yangu haipokewi inakatwa fasta na kuna wawili kati ya hao wamenitukana.

Sasa najiuliza ina maana single ladies hakuna? Na kama wapo mbona mimi sijawahi kukutana nao?

Wanaume wenzangu na hata wanawake jamani hebu nisaidieni namna na kumtambua single lady maana nimechoka kukaa peke yangu nahitaji mwenza, angalau nikiweza kumtambua na kubaini single girls wanakopatikana labda nitazungumza nae na atanisikiliza.

Nawasilisha kwenu.
Kaka, wadada Wa enzi zetu wanataka wenye fedha.Sisi 20'''s hawatutaki maana wanajua bado hatuna pesa, upo kama Mimi yan.Napiga nyeto tuu ndo msaada wangu Wa ajabu na NAISHUKURU SANA NYETO, LA CVYO PUMBU ZANGU ZINGESHAPASUKA KWA GANZI.CHENGA SANA YAN.
 
Kaoge baharini kwanza kiongozi.
Siyo kwa Dsm nayoijua mimi.

17 girls!!!!! Jiulize mara tatu utapata jibu.

Mwite Mshana Jr. Mzee wa Dar es salaaaaam
 
Kazisome vizuri hizo thread usikurupuke mkuu.

Mi namsomesha mdogo wangu, mambo yote hayo niliuliza kwa ajili ya mdogo wangu. Kama hujazielewa nakuomba ukazisome tena sio kukurupuka tu
3ff87f15077853333d32f27227f7b73f.jpg
Au haikua thread yako?
 
3ff87f15077853333d32f27227f7b73f.jpg
Au haikua thread yako?
Ilikuwa thread yangu kabisaa lakini mimi nimemuwakilisha mdogo wangu nnaemsomesha.

Kwa sasa yuko University of arusha

Kama huamini njoo unitembelee kwangu ndugu yangu, mi nakaa buguruni
 
Mkuu kila nikijaribu kubembeleza napuuzwa nikiomba appointmnt naambulia tusi au sonyo
Tafuta mdada anaitwa kihuba humu jf na yeye anatafuta mchumba kwa muda mrefu sasa bila mafanikio

Usisahau kuleta mrejesho
 
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
Bora umemwambia kijana wa watu huu ndo ukweli jomoni!hahah eti chachacha umechekesha sana.
 
Mkuu mpe pesa tu siku ya tatu na zingine mnunulie vocha na umpe bus fair kwa week nzima zen baada ya hapo mkaushie km week hvusiwe na hbr ..hlf uje ulete mrejesho..
 
Hapa ndo tunapoona umuhimu wa imani sasa!
Yes mke anatoka kwa Mungu!
Waliotumia hii njia wamefanikiwa, nimeona shuhuda kadhaa...
Pia wale waliodharau Mungu wamekumbwa na mabaya sasa wapo wapo tuu...

Mshirikishe Mungu jambo lako na utaona mambo yananyooka kiulaini tuu.
Mzigo mzito kama huo unampa Mungu kwa imani.

Hivi vitu nio vya kuingia kichwa kichwa... vinginevyo utaumia tuu pengine hata kifo kikute mapema.
Relax do something ila usikate tamaa Mungu anapenda watu wavumilivu! Uvumilivu ni muhimu mno.
God bless you brother.
 
Me nilijua unawapa mbinu wanaume wenzio [emoji3]
 
Kuna Tigopesa, M-pesa, Airtelmoney, Halomoney sijui, hizi huduma kweli unazitumia?
 
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
Haya yote nilishawahigi kuyafanya ni kama ya ziada tu hayana umuhimu nimefatilia wanawake wengi siku hizi wanatoka na watu ambao hawana swagz kabisa kikubwa mpesa ifanye kazi ukiongeza na gari la mizunguko ya hapa na pale mjini nafikiri mtoa mada anahitaji dem sio mke ndio mana anapata shida
 
Weka namba yako watakutafuta... chunga usitapeliwe🙄🙄
Wakuu huyu jamaa toka mbwinde akifuata ushauri wenu lazima aupoe mchumba mzuri na kuachana na uanachama wa chaputa
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
 
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
Hahahaahaaaaaaaa ametisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom