Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Muonekano wako, mavazi, level yako inaendana na unao wafuata? Pia uwezo wako wa kureason huwa wasichana wanatabia yakupima uwezo wako Kwanzaa unapo ongea naye kwa mara ya kwanza.. Pia jiweke kijentomen sana.. Usikute huna swagz ndio maana wana kuona wakuja . Kipindi cha kutafuta mchumba ni kipindi cha usafi wa mwili mavazi na kujua aina ya msichana umtakaye.. Na eneo rasmi la kutegaMkuu kila nikijaribu kubembeleza napuuzwa nikiomba appointmnt naambulia tusi au sonyo