Namna ya kutambua 'single girls'

Namna ya kutambua 'single girls'

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Habari zenu jamani,

Hii sio mara ya kwanza kuja kuleta thread hapa kuhusu hili swala langu.

Mimi ni kijana umri wangu ni 27, naishi hapa Dar es Salaam ambapo nimeajiriwa katika taasisi fulani hivi, kipato changu si kikubwa na wala si kidogo sana. (angalau kinanisaidia kuishi, japo nipo kwenye nyumba ya kupanga).

Sasa jamani mi niko single mwaka wa tatu huu kutokana na jitihada zangu za kutafuta mwenza kugonga mwamba, nimeshatongoza waschana 17 mpaka sasa lakini kila nnayemtongoza ananambia "mi nina mtu wangu, tunapendana sana". Nikimforce basi naishia kublockiwa na simu yangu haipokewi inakatwa fasta na kuna wawili kati ya hao wamenitukana.

Sasa najiuliza ina maana single ladies hakuna? Na kama wapo mbona mimi sijawahi kukutana nao?

Wanaume wenzangu na hata wanawake jamani hebu nisaidieni namna na kumtambua single lady maana nimechoka kukaa peke yangu nahitaji mwenza, angalau nikiweza kumtambua na kubaini single girls wanakopatikana labda nitazungumza nae na atanisikiliza.

Nawasilisha kwenu.
 
Mkuu inaonekana unatumia nguvu kuwatongoza

We jitahidi kuwa mtu asie tumia nguvu

Tumia akila kuwatongoza maana mwanamke hupenda kubembelezwa

Na ukiwa kwenye jamii jitahidi kuwa na lugha za staha inawezekana una lugha za matusi maana hakuna mwanamke atakae kubali kutukanwa na kudhalilishwa

Utekelezaji mwema
 
Mkuu inaonekana unatumia nguvu kuwatongoza

We jitahidi kuwa mtu asie tumia nguvu

Tumia akila kuwatongoza maana mwanamke hupenda kubembelezwa

Na ukiwa kwenye jamii jitahidi kuwa na lugha za staha inawezekana una lugha za matusi maana hakuna mwanamke atakae kubali kutukanwa na kudhalilishwa

Utekelezaji mwema
Mkuu kila nikijaribu kubembeleza napuuzwa nikiomba appointmnt naambulia tusi au sonyo
 
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
 
Inaonekana unashobo badili muonekano wako acha ubrazamen wakijinga ukifika kwa mrembo badala umweleze shida yako umaanza kujisifia pumbavu lazima wakuone Mburura
 
Kweli dunia haina usawa hata kidogo,wakati wewe unalia unakataliwa kuna mdau aliweka bandiko hapa kila akitupia ndoano anavua tena kaenda mbali na kusema ana harufu ya nyapu.

Sasa na wewe itabidi sijui u-deal na mashoga maana wapo wengi kweli hautakosa alie single.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom