Namna ya kutambua 'single girls'

Namna ya kutambua 'single girls'

Mdau Nakushangaa Sana Na Ugumu Wote Huu Wa Maisha Mwanamke Akukatae Labda Utakuwa Mbahiri
 
mkuu hilo tatzo hata mm linantokea sana ila hapo nahis ni njia tu za kutukataa mm huwa naona labda ni kwa vile umri umenda mana im 30 kumbe had ww?
 
Mdau Nakushangaa Sana Na Ugumu Wote Huu Wa Maisha Mwanamke Akukatae Labda Utakuwa Mbahiri
mkuu tupo wengi tu wanatukataa mm mwenyewe huwaga nakuaga serious kwel na huwa napendaga nipate wangu wa permanent ila huwa sipat
 
Kweli dunia haina usawa hata kidogo,wakati wewe unalia unakataliwa kuna mdau aliweka bandiko hapa kila akitupia ndoano anavua tena kaenda mbali na kusema ana harufu ya nyapu.

Sasa na wewe itabidi sijui u-deal na mashoga maana wapo wengi kweli hautakosa alie single.
[emoji33] [emoji33] [emoji33]
 
mkuu hilo tatzo hata mm linantokea sana ila hapo nahis ni njia tu za kutukataa mm huwa naona labda ni kwa vile umri umenda mana im 30 kumbe had ww?
Aiseee mi mwenyewe nimeanza kuhisi ni njia tu ya kukataa maana kila girl nnaemgusa eti ana bwana
 
nenda kanisani au msikitini kisha sema shida yako, na sifa uzitakazo utapata mke sio hawara....
 
Wavulana wa mikoani lazima tu mtakiri udhaifu wenu ili watu wa mjini tuje kuwatoa matongotongo. My son, huku mjini wadada wanaangali muonekano kwanza (kiatu, perfume, saa, mkanda, shati, suruari na sura) fanyia kazi kwanza hilo eneo. Usije uka mu-approach demu umetupia suruali yako ya njano na shati lako jekundu chini umepiga chachacha huku unanuka kikwapa lazima uambiwe upate hayo majibu ata kama demu yuko desparate lazima akuzingue.
[emoji23][emoji23]
 
Akili yangu inaniambia hujajua kutongoza....
Au,
Huna tabia inayokubalika na jamii mtaani kwako au kazini kwako.....
Au,
Hauko serious na hitaji la kuwa na MKE

Hata hivyo,
Jambo la msingi siyo kumtambua single girl. Ila ni kumtambua "right girl"
 
Itakua huna hela bro na kama unazo ni mbahili.
Ukitaka kukamata njiwa kirahisi wamwagie mtama hahaaa .....
 
Miaka 27, harafu kila unayemtongoza anakukataa!!!? Subili nivute ugoro nitarudi baadae kukwambia cha kufanya ila cha kwanza tafuta pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom