Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi


Hii si inakiuka maandiko

SWALI: Bwana alikuwa na maana gani kusema mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili?(Mathayo 5:39)


JIBU: Bwana Yesu aliposema mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili na sawasawa na pale aliposema pia “mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia.”

Kama tunavyofahamu ukiwa kama mkristo ni lazima ukutane na vikwazo vingi kutoka kwa wasioamini, Hii ikiwa na maana kuwa kwa kufanya hivyo utakuwa umeushinda uovu na utafanikiwa kuiokoa roho ya mtu huyo badala ya kuingamiza. kwasababu kwa kufanya vile Biblia inasema utakuwa umempalia makaa ya moto kichwani pake,atakuwa akijiuliza kila siku ni kwanini sikutendewa kama mimi nilivyomtendea yeye?. hivyo baadaye atajiona yeye ndiye mwenye makosa na kugeuka na kutubu kwasababu yale makaa ya moto yatakuwa yanachoma ndani yake. Biblia inasema katika..

Mithali 25: 21 “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa;
22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na Bwana atakupa thawabu”.
Lakini sasa mfano atakapokupiga na wewe ukamrudishia, au atakapochukua mali yako nawe ukaenda kuchukua ya kwake, atakapokuabisha na wewe ukamwaibisha, atachomwaje dhamira na kujiona kama yeye ni mwenye dhambi?, hivyo atabakia kuwa vilevile tu na kukuona wewe ni mtu wa kawaida tu kama watu wengine walivyo. Na ndio maana Bwana Yesu alisema tuushinde ubaya kwa wema, ili tuwe wakamilifu kama Baba yetu alivyo mkamilifu. Aliendelea kusema..

 
Wew choko niny unawashwa sana ety eeh tafuta LGBTQ 🌈 wenzio wakupakue mavi.
Umeshindwa kujificha umeamua kujitangaza upate wateja haya endelea kutafuta wanaume kwa nguvu maana choo chako inaonekana kichafu unatafuta wanaume wa kukisafisha.

Sawa endelea kutafuta tafuta humu type yako unayotaka utapata.
 
Umeshindwa kujificha umeamua kujitangaza upate wateja haya endelea kutafuta wanaume kwa nguvu maana choo chako inaonekana kichafu unatafuta wanaume wa kukisafisha.

Sawa endelea kutafuta tafuta humu type yako unayotaka utapata.
Wew ni shoga hata jina lako lina akisi hivyo upo special kwa kupakuliwa mavi, nenda katafute agent wenzako wa LGBTQ 🌈.
 
Bado hujapata tu ?
Ulikua unawashwa niny kuniquote huku ukijua unauwezo mdogo kuhusu masuala ya mashariki ya kati nabado wew ni bichwa panzi kabisa.

Wew ndio wale unakuta bichwa kubwa akili kijiko nenda kawapelekee tigo member wenzio wa LGBTQ 🌈
 
Ulikua unawashwa niny kuniquote huku ukijua unauwezo mdogo kuhusu masuala ya mashariki ya kati nabado wew ni bichwa panzi kabisa.

Wew ndio wale unakuta bichwa kubwa akili kijiko nenda kawapelekee tigo member wenzio wa LGBTQ 🌈
Bado hujapata tu ?
 

Unaelewa maana ya Torati?
Hicho kifungu ulichotoa ni aya ya Injili. Unaelewa maana ya Injili.
Yesu hatumiki kama reference yoyote katika uwanja wa vita. Hajawahi kupigana popôte pale.
Yesu hatumiki kama reference yoyote ya mahusiano na ndoa.

Musa ni mtawala, mpiganaji, na ashapigana vita vingi.
 
Haya mambo yasikie Tu kwenye nchi zingine
 
Nafuata mafundisho
 
"Umesema namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazo tumia magaidi"

Nakuuliza tena.

China ilipambana vipi na terrorism Xinjiang ?
 
Kwa hiyo pale unatumika uyahudi kupambana ?

Vipi kwa kundi la Waisrael:-
  • Waislam
  • Wakristo na
  • Wasio na dini

Lile ni taifa la kiyahudi. Mbinu wanazotumia ni mbinu za kiyahudi kudili na adui zao. Hao adui wanaweza kuwa na dini au wasiwe na dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…