NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Wazee wa Tanu walichangisha fedha kwaajili ya ukombozi.Mkuu, huelewi kitu!
wakati Mbowe anachangisha fedha wabunge kwaajili yakunufaisha familia yake.
Wazee wa Tanu walichangisha fedha kwaajili ya ukombozi.Mkuu, huelewi kitu!
Nina hakika kuwa mawakala hawatagawiwa nakala kutoka vituoni. Wakisisitiza patachimbika. Wawape nakala ili mkajumlishe ilhali kuongeza idadi ya walioipigia ccm ndiyo njia kuu ya wizi? Thubutu!!!Sasa naan
Sasa naanza kuelewa ni kwa nini walikuwa hawataki kutoa nakala za matokeo kwa mawakala
Hata sasa Kuna michango kwa ajili ya ukomboziWazee wa Tanu walichangisha fedha kwaajili ya ukombozi.
wakati Mbowe anachangisha fedha wabunge kwaajili yakunufaisha familia yake.
Jamaa unaandika uwongo mwepesi sana,hata ushahidi ukuweka!!.
Alafu ujaeleza kwenye majumuisho ya kura za udiwani,Ubunge na Urais hizo kura za vituo hewa zitapenyezwaje,ilhali mawakala wakuu wa majumuisho wana nakala za matokeo za kila kituo cha kupigia kura na Ballot box zipo mbele yao wanaziona huku majumisho yakiendelea.
Na vituo Ving hewa vimeanzishwa maeneo ya vjjn ambako wananchi wengi hawana mwamko wa kulinda haki yao!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Wezi kama wewe wataona haina maanaUnaandika habari ndefu alaf haina maana
Harakati za wizi huu zipo kila mahali na watu wengi wanashiriki hujuma hii.. Sijaona hali hii katika uchaguzi tangu tuanze 1995 uchaguzi wa vyama vingi. Hii ni nafasi pekee ya kuondoa utawala dhalimu wa ccm. Inategemea chadema wanamkakati gani kwa sasa kwa kuwa hata wao wanaona aakihujumiwa machoni pao. Its now or never!!!Kuna Wizi wa Kura Unaratibiwa na Usalama wa Taifa hapa Chuo kikuu cha Dar es salaam Katika ukumbi wa Yombo 4
Polisi wamemwagwa kibao na umeme umezimwa chuo kizima.