Namna ya kuchangia faini ya Tsh. Milioni 350 waliyohukumiwa kulipa Viongozi wa CHADEMA

Kunaanambaaa zinarushwaa ovyoo sijuii wamejuaje NAMBAA za watu changiaa......,

TUNAOMBA TCRA
waIfanyie kazii hizoopesa zinazorushwa kwa watu binafrsi ZILIPISHWE KODI YETU SERIKALINI PLS
 
Wale hio hela tuma kwenye namba hii lazima watapata mbinu nyengine ya kula vya waliwa
 
Pesa tushachanga na kesho mapeema vyuma vipo town ili mjue kuwa ccm na watu wenu hampendwi
wafungwe tu maana hicho ndio walikuwa wanakitafuta ili waonekane "wanaharakati wa kupigania demokrasia" kumbe akili inaongozwa na tumbo. Mimi binafs labda nimchangie yule mdee binti mzuri kajichanganya na wale mumiani wasaka tonge sasa anaumia!!!!

No one knows tomorrow.
 
Kunaanambaaa zinarushwaa ovyoo sijuii wamejuaje NAMBAA za watu changiaa......,

TUNAOMBA TCRA
waIfanyie kazii hizoopesa zinazorushwa kwa watu binafrsi ZILIPISHWE KODI YETU SERIKALINI PLS
kodi ilishakatwa au huna simu hutumagi au hununuagi muda wa naongeza kupitia nia Amal’s????,,
 
Back
Top Bottom