baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 2,988
- 3,733
Umeshawahi kufika Sumbawanga? Kutokea Mbeya ?Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Muache ubishi usio kuwa na kichwa Wala miguu, ujuaji wa kipumbavu
Ni hivi ukitoka Mbeya unafika Tunduma border then unakata Magharibi unaelekea Sumbawanga
Mwandishi Yuko sahihi sana