Wakati Nyerere Ni rais wa nchi hii, makahaba wengi walikua Ni wahaya. Walikua pale ilipo jengo la Red Cross pale NSSF, Livingstone, Kidongo chekundu, Mantheysay, Msasani, M'nyamala, Buguruni, Temeke Sudan na pale ilipo TBS kwa ajili ya wanafunzi wa mlimani. Mkuu wa mkoa kipindi hicho alikua Ni mhaya, sasa Dada zake Hawa walikua wanamuaibisha. Basi kwa kutumia madaraka yake akaanza mchakato wa kuwafukuza na kuwarudisha BK. Nyerere aliposikia huo ujinga alimuita na kumuuliza. Jamaa kajitetea kwamba wanaharibu sifa ya jiji. Nyerere alimpiga swali moja tu. Je UKISHAWAFUKUZA MAKAHABA JIJINI DAR WATEJA WAO UTAWAPA ALTERNATIVE GANI?
jamaa aliishiwa nguvu na kuacha. Sasa Makonda nae hata elimu ya msingi hakupata vizuri Naye eti alikua anawapiga Vita mahaba.