Namna Biashara ya 'Network Marketing' ilivyonipeleka Polisi

Namna Biashara ya 'Network Marketing' ilivyonipeleka Polisi

kuna dada mmoja alikua tayari hata kunipa papuchi ili tuu nijoin hiyo biashara nikawa namcheka tuu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....
 
Mimi nimepelekwa na watu wawili wa tatu niligundua kuwa ananipeleka kule maana kawaida yao wanakubeba kama mzigo halafu ukifika ndio unajua ni QNet
Kuna jamaa yangu flani alinifuata November aisee kuhusu QNET nkamwambia mwanangu una uhakika?? Akajizonga pale nkamwambia wewe endelea lakini hela sikumkopesha.

Sijamsikiliza anaendeleaje na mafao yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao dawa yao ndogo sana, huwa nafanya hivi akija mmoja kupiga ngonjera za kujiunga huko lazima atakuganda kama ruba, kila muda ni simu na sms zisizoisha, huwa nawachimba vizuri nijue kiwango ninachotakiwa ili kujiunga mfano inaweza kuwa laki 5 au 7 au milioni kabisa.

Kwakua amenihakikishia utajiri na kanipa matumaini ya kutoboa huwa nawaambia wanikopeshe hicho kianzio, nikivuna nawarejeshea. Hutosikia tena kelele zao na kukusumbua ataacha.

We fanya kulazimisha akukope atatoka nduki nakwambia.

Hiyo ndio mbinu rasmi iliyothibitishwa kufukuza hizi headless zombies.😂😂
Duh mkuu,you made ma day c kwa mbinu hiyo
 
Kanuni mojawapo ya msingi:
"Ukiona unaitiwa fursa, ujue wewe ndio fursa"
 
Nilikutan na jamaa mmoja ,akanieleza biashara hii inalipa unaweza kuingiza hadi mil 5 kwa mwenzi,mi nimenunua kiwanja ostabey sasa hivi nimeshapaua napaka rangi,nilimwuliza swali moja tu tukaagana kiroho safi (kama hii biashara inalipa kwanini kiatu chako kimeisha soli??

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂
 
Nilikutan na jamaa mmoja ,akanieleza biashara hii inalipa unaweza kuingiza hadi mil 5 kwa mwenzi,mi nimenunua kiwanja ostabey sasa hivi nimeshapaua napaka rangi,nilimwuliza swali moja tu tukaagana kiroho safi (kama hii biashara inalipa kwanini kiatu chako kimeisha soli??

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilikutan na jamaa mmoja ,akanieleza biashara hii inalipa unaweza kuingiza hadi mil 5 kwa mwenzi,mi nimenunua kiwanja ostabey sasa hivi nimeshapaua napaka rangi,nilimwuliza swali moja tu tukaagana kiroho safi (kama hii biashara inalipa kwanini kiatu chako kimeisha soli??

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]..Huu uzi unavunja mbavu aisee
 
Dah me mwenyewe yamenikuta haya, kuna mwamba mmoja nlikuwa nasoma nae chuo alijiunga na huo upuuzi. Basi cku npo zangu class nafanya assignment eti akaja ooh mwana kuna fursa ya biashara eti unaweza kufanya hata km unasoma, me nkamckiliza at the end nkamwambia ok twende nkaone inavyokuwa, hao tukatoka had empire yao pale makumbusho dah! Nikakutana na hadithi kibao, muhun nkawackilizia... mara jamaa ananisomesha et humu wapo had mastaa kina wema sepetu kwahiyo ukijiunga hutojuta. Nikaambiwa ntoe 500k nkawaambia sina, wakaanza et we nenda kakope au weka bond Mali yoyote ujiunge nkawaambia sina mali km vp nilipien then tutalipana juu kwa juu... Nkaona wamepoa, baada ya hapo huyo muhun nkasepa. Ila huyu jamaa hakuishia hapo alinsumbua sana niende tena kumbe lengo lake achukue cm yangu then et aanze kuwapigia watu wangu mmoja mmoja awashawishi wajiunge, nilikuja kujua badae aliniambia mwenyewe nkasema huyu kweli hamnazo. Toka hyo day hajanpgia tena had leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom