Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,592
- 126,173
Genius [emoji1787][emoji1787]Ulivyotoka ungemtongoza huyo mwalimu wa kike..ili jamaa anae kudai awe shemeji yako..na hiyo kesi ingeisha kifamilia
Asante JF leo nilikuwa ndio nategemea kujiunga rasmi na QNET, ila kupitia huu ushauri, fedha yangu naenda kula na watotoWale wale hawana tofauti ya kimsingi. QNET, Forever Living, Global alliance nk ni mfumo ule ule.
Ni mtindo wa kufanywa fursa kwa kukuzuga kuwa wanakupa fursa ya kutajirika chap chap.
Aiseeee, ujue kuna Rafiki Yangu anafanya huko, huwa tukikutana namuonea huruma maaaana amepungua had sielewi na nilikuwa sijui anafanya Kazi gani kuna ofisi iko kwenye gorofa liko kule makumbusho huwa anaenda anachukua bidhaaa anasambasa nilikuwa sijui ni bidhaa za Nani Leo ndio nimegundua kumbeeeeeeAsante JF leo nilikuwa ndio nategemea kujiunga rasmi na QNET, ila kupitia huu ushauri, fedha yangu naenda kula na watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikujaga demu mkali akanipa ngonjera za hizo business aisee niliishia kumla tu sikujiunga kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂Ulivyotoka ungemtongoza huyo mwalimu wa kike..ili jamaa anae kudai awe shemeji yako..na hiyo kesi ingeisha kifamilia
safi sanaAlikujaga demu mkali akanipa ngonjera za hizo business aisee niliishia kumla tu sikujiunga kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante JF leo nilikuwa ndio nategemea kujiunga rasmi na QNET, ila kupitia huu ushauri, fedha yangu naenda kula na watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdada mwingine alikuwa anapiga kazi bureau de change akakutana na watu wa Qnet wakamdannganya kaacha kazi akachukua pesa aliyo nayo na nyingine akakopa akaiweka huko. We maisha yakamchanjia na anadaiwa hadi kakimbia jijiQnet ya pale karibu na Palestina? sinza
Billionaireeeea kauli Moto yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wajinga kukwambia habari hizo. Wewe si ndo babalao wao watoto tu. Sema ungeenda kule ungekuwa kiongozi mwandamizi na ungesumbua sana.Pole.... Sana
Kitambo Sana watu design hiyo nlikutana nao
Na walijaribu kunishawishi, lkn ollah maana hapa walikutana na chuma cha reli
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si wamekwambia habari za kuhusu QNET usiulize yeyote uwaulize wao, vipi ukuoneshwa watu uloambiwa wameacha kazi kujiunga na chama lao. Na vipi kuhusu magari na safari za kwenda nje. Masuti walivaa lakini na smartphone moja mfuko wa shati, nyingine kiganjani, nyingine mfuko wa suruali au wa kwako hawakuwa na mbwembwe nyingi. Na vipi walikuwa wanatumiana texts na kuomba samahani kujibu sms za kikazi na hela, simu hii ikiingia text baadae kidogo nyingine inaingia. Umeoneshwa mahoteli ambayo sijui utapewa kuponi ya kwenda uko bure sijui ni washirika wao. Umeoneshwa picha wakiwa na viongozi wakubwa na sherehe kubwa za kitaifa na kimataifa. Kama hujaoneshwa hayo ndo ungeona leo. Cha ajabu yule jamaa aliyenipeleka hadi leo anavaa suti moja ileile na viatu pair moja. Kila siku anapost motivation quotes.Asante JF leo nilikuwa ndio nategemea kujiunga rasmi na QNET, ila kupitia huu ushauri, fedha yangu naenda kula na watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa eti suti za pale karume za buku 4 jeroMimi November hapa niliitwa Mbezi kwa Msuguri jamaa wamekodi nyumba mpya haijawekwa furniture. Wana meza za plastic kibao. Chalii niliyeitwa nae alikuwa mshamba wa uko mavijijini tu nikajua ataniheshimu na hana uwezo wa kufanya mishe za kijanja na kitapeli, mtu wa dini. Nilivoenda kusikia QNET nikacheka moyoni maana nishaisoma sana hapa JF. Nikawa nawachora wanavirudia yaleyale yaliyosemwa humu. Wao wakadai;
QNET inadhamini Man City, wakanionesha video za matangazo na picha.
Mwaka 2022 wanaenda Qatar kucheki kombe la dunia
Yule jamaa yangu atanunua Nissan Touareg ndani ya miaka mitatu.
Ukiwacheki wanavaa suti za pale Karume na suruali za vitambaa na viatu vya kubrush. Wana iPhone 7 zinazunguka wote wanajua password zake, akitoka kumpiga sound huyu anazirudisha mwingine anazichukua kumpiga sound mwingine.
Shida unajua inakuja wapi yeye ameshakupigia hesabu kuwa atapata hela kupitia wewe. Hivyo kazi aliyo nayo ni kukushawishi hadi ujae kwenye boksi, na ukirudi nyuma yeye ameingizwa kingi na mtu mwingine.Hao Jamaa ni wapuuzi tu , huwezi kumlazimisha mtu kuingia kwenye biashara