Mhhhhhhhh, mie napiata tu. Simo kabisa.......
Hayo matamshi ya Makonda is a blessing in disguise, kwani amesaidia kuitangaza JF kwenye BMK.
Huenda Mhe Sitta & Co. baada ya kauli hiyo ya Makonda watapitia hapa JF, ili wajue maoni ya watanzania kuhsu katiba mpya