Eng.Livingstone
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 880
- 227
huyu ni KONDA wa daladala
Kwetu makonda ni manyigu,yana sumu kama nyuki si ajabu huyu jamaa nae ni sumu ya maendeleo ya vijana,kwa kujipendekeza sijawai kuona,huyu naye ni mchumia tumbo,baba yake hakuwa hivyo mbona?
makonda ameniaribia siku kabisa Yaani nina hasira ingawa wazanzibar wamenifurahisha
Mimi namshukuru Paul Makonda kwa kuniwakilisha!
Anaposema kwa niaba ana maanisha kuna wana jf wana kubaliana nae!
Mimi huwa namuona kama hamnazo au nyie wana JF huwa mnamuonaje
Huyu kwanza sio kijana japo yeye anajiita hivyo.
Alafu usisahau katika mkutano huu huu Mh. Mbowe alisema kuwa akikutana naye nje anampongeza akiingia ndani anajifanya kukana, hawa ni jamii ya watu wanaoongozwa na njaa na sio utashi!
aisee,ha ha ha haaaaBabu koma! Ishu hapa sio CCM, ishu ni upuuzi wa huyu bwana, na wapuuzi wako kila mahali ingawa katika chama changu wamezidi.