Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,348
Leo katika Bunge Maalum la Katiba huyu bwana, Paul Makonda amedai kuwa anapiga kura ya 'ndio' kwa niaba ya vijana wote wenye akili timamu na kwa niaba ya wanachama wa Jamiiforums.

Mimi ni kijana mwenye akili timamu, na mwanachama wa Jamiiforums.

Sijamtuma Paul Makonda na wala sitaki kuwakilishwa nae katika hili, aache kujipendekeza kwangu na wana JF wenzangu kwani hatukukaa kikao chochote tukamtuma atuwakilishe.

Ajisimamie mwenyewe kama anajiamini, asitafute 'kick'!

Sikiliza alivosema eti anatuwakilisha wanajamiiforums.


[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189356&d=1412071154[/JFMP3]
 

Attachments

Huyu kwanza sio kijana japo yeye anajiita hivyo.
Alafu usisahau katika mkutano huu huu Mh. Mbowe alisema kuwa akikutana naye nje anampongeza akiingia ndani anajifanya kukana, hawa ni jamii ya watu wanaoongozwa na njaa na sio utashi!
 
Sisimizi wanamzidi ufahamu na hekima kichaa Makonda.
 
Mfa maji haachi kutapata kwisha habari yao ccm, mungu yupo aisee
 
Mimi namkataa saa hizi na nitamkataa mpaka kiama sijawahi na sitakuja kumtuma mtu kama huyu bora mapunguani hawatumwi na wana JF
 
Mfa maji haachi kutapata kwisha habari yao ccm, mungu yupo aisee

Babu koma! Ishu hapa sio CCM, ishu ni upuuzi wa huyu bwana, na wapuuzi wako kila mahali ingawa katika chama changu wamezidi.
 
Makonda ana tabia kama za nguruwe. Anadhani kila kitu kinaliwa. Ndio maana ameshiriki kuyala maoni ya watanzania na kisha kuyapeleka chooni. Sometimes i used to call CCM a slavish, barbaric and uncircumcised mafia group. To hell Makonda.
 
Nikumchukia tuu hana ishu, anatafuta attention. NIMEMPOTEZEA
 
Huyu hajitambui. Yuko kwa maslahi ya tumbo lake. Sijamtuma na ninaamini hana akili timamu. Akapimwe Mirembe iko jirani na alipo kwa ssasa. Mnafiki mkubwa huyu.
 
kama hutaki salam za P Makonda si basi ya nini kumkashifu na kumtukana makonda kiboko ya upinzani salam zake mimi nimezipokea eeemeeeeen
 
Back
Top Bottom