Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

jana katibu hamasa wa vijana taifa alituwakilisha vyema sana kwa kusema amepiga kura kwaniaba ya vijana wote wa Tanzania

Status ya kura aliyopiga ni sawa na Mtazamo wa vijana wengi wa Tanzania? Au kuchora kwenye karatasi ndo kinaongelewa?
 
Mi huwaga nasema kila mara,Vijana wa dizaini hii kuna kitu either kipana au kirefu kina wasukuma kwa nyuma.
 
Nilipomsikia tuu aksema kuwa ametumwa/anawakilisha Wanajamiiforum niliwaza kujipiga lifeban. Niaibu sana kuwakilishwa na mtu kama Makonda.
 
Mjinga sana yule kijana sijui anamuakilisha nani kuke mjengoni,, pumbavu zake.
 
PRINCIPAL OF AFRICAN PHYLOSOPHY
Jikombe -- Ukombolewe

Mnampa promo asiyostahili.
 
kwa niaba yangu mimi kama mwanachama hai hapa jukwaa adhimu la JAMIIFORUM natamka rasmi sitambui wala sijamtuma huyu mwenye sauti wanayesema anaitwa pauli makonda

Haniwakilishi hapa wala popote asilani abadan

Respect !!!
 
Hili jamaa jinga sana

Tena jehu kbs,mm linikome na linitoe kwenye hesabu zake. Ngoja tuje tumsute,atuambie jf tulikaa lini kikao cha kumchagua atuwakilishe na kikao kilifanyikia wapi na muhtasari wa kikao uko wapi.
 
Leo hii nimefurahi sana, Wana JF tumewakilishwa vyema kabisa...Na uzuri wengi humu ndani kura yetu ni NDIYO!!!
Kwa Katiba inayopendekezwa....Hakika tumpongeze huyu kijana.

Una mbwato wewe na kamtuma huyo firigisi
 
Anajipendekeza, hatumtambui kamwe! Makonda anadhalilisha vijana wa kitanzania tu.
 
sheria za jf zinasemaje kwa mtu kama huyu ambaye ameweka uongo MZITO kama huu ? Hivi mimi ni wa kuwakilishwa na MAKONDA KWELI JAMANI ? NTAISHANGAA SANA JF KAMA MAKONDA HAKUPIGWA BAN YA MILELE !
 
Hehehehe anaitwa anakonda kwetu nimnyama pori et vijana wenye akili timamu yaan ili jamaa lishaba kwel au ana dhani sisi ni washaba kama yeye mdomo kama ananyonya ubuyu wee
 
Back
Top Bottom