Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Anawaawakilisha mapumbavu wenzake,wenye akili na njaa kama yake,----- huyu.
 
Paul Makonda yupo sahihi sana nadhani wewe mleta uzi ndo hujitambui.

Vijana wenye akili timamu tunamuunga mkono Makonda kwa kauli yake ndani ya BMK!
 
huyu makonda bora mama angezaa hata sufuria angechemshia maji ya moto kuliko kuwa na mtoto chizi kama huyu makonda mm siwezi kuwakilishwa na kijana mnafiki na muhuni kama makonda kwanza anatakiwa kutuomba radhi vijana wote wa JF
 
Paul Makonda yupo sahihi sana nadhani wewe mleta uzi ndo hujitambui.

Vijana wenye akili timamu tunamuunga mkono Makonda kwa kauli yake ndani ya BMK!

Ukiona mtu anamsifia mtu mchafu basi ujue yeye ni mchafu zaidi.
 
Ukiona mtu anamsifia mtu mchafu basi ujue yeye ni mchafu zaidi.

Tatizo ukweli umewagusa nyie mazwazwa.

Vijana wenye akili timamu tunafuatilia BMK na tunawaamini vijana waliopo ndani ya Bunge hilo!
 
Inabidi Moderator ampe ban ya maisha kwa uongo,uzushi nk. Kabla ya hizo hatua aitwe jukwaani aulizwe nani kamtuma
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ukweli umewagusa nyie mazwazwa.

Vijana wenye akili timamu tunafuatilia BMK na tunawaamini vijana waliopo ndani ya Bunge hilo!

unawaamini wahuni wenzako ss hatuwezi kuangalia bunge la ccm na wahuni wake hata siku moja waliopo ccm hawajitambui kama ww
 
hapa si kuna wanasheria, kwanini tusimfungulie mashtaka huyu mpu'''mba''''vu
 
Unajua huu ndio muda wa kujipendekeza! ameonjeshwa mchuzi sasa anataka kukomba na sifuria?!
 
Makonda kwani Napi kajiuzulu Ukatibu wa Siasa na Uenezi wa CCM?'kama bado mbona una haraka ya kupora cheo cha mwenzako?.Subiri yavuta heri
 
kama hutaki salam za P Makonda si basi ya nini kumkashifu na kumtukana makonda kiboko ya upinzani salam zake mimi nimezipokea eeemeeeeen

Nyie Wote Mazuzu.Jina lenye linaoyesha ana upungufu wa akii kichwani.
 
Back
Top Bottom