Mwendawazimu yule.. humu ni JAMIIFORUMS yeye kataja JAMIIFORUM..labda kaanzisha mtandao wake na mkewe #*#*##** zake... psychoLeo katika Bunge Maalum la Katiba huyu bwana, Paul Makonda amedai kuwa anapiga kura ya 'ndio' kwa niaba ya vijana wote wenye akili timamu na kwa niaba ya wanachama wa Jamiiforums.
Mimi ni kijana mwenye akili timamu, na mwanachama wa Jamiiforums.
Sijamtuma Paul Makonda na wala sitaki kuwakilishwa nae katika hili, aache kujipendekeza kwangu na wana JF wenzangu kwani hatukukaa kikao chochote tukamtuma atuwakilishe.
Ajisimamie mwenyewe kama anajiamini, asitafute 'kick'!
Sikiliza alivosema eti anatuwakilisha wanajamiiforums.
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189356&d=1412071154[/JFMP3]
...ni mwizi tu makonda kama mafisadi papa....
wakati akiwa anaongea bungeni alikua anasema
maneno watanzania wenzangu,ndugu zangu
mimi kama mtanzania sina ndugu aliye ccm,fisadi,wala haramia kama wewe na wenzio
ukome kabisa ndugu yako ni baba ako na mama ako na mkeo...