Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

mimi nina akili timamu,mimi ni kijana na mwanachama wa JF,nakana kwa nguvu zote kwamba kura alizopiga huyu makonda sio kwa niaba yangu..
 
Hii nayo ni ndoto nyingine mkuu. Amka usingizini
Huyu Paul Makonda mimi pia sijamtuma na hiyo Katiba yao ni yao hao hao wa aina yangu
hatumo na Mungu atasimamia ili dhambi hii wanayoendelea nayo ifike mwisho waumbuke. Huyo Sita anajifanya kushangaa kwanini mtu apige kura ya hapana kwa sura zote na ibara zote kwanini ashangae mtu anapopiga ndio kwa sura zote na ibara zake akisindikiza ma Uongo eti ametumwa na anaowawakilisha. Wapuuzi kabisa
 
Msisumbuke na makonda kwa ni follower wa sita. Anajipendekeza ili aonekane anafaa kwa serikali ijayo ila usubiri lowasa apate ndo utakubali.
 
Mjinga tuu huyo..nani kamtuma hapa jf...hicho kikao kilikaa lini? Period!...
 
Leo katika Bunge Maalum la Katiba huyu bwana, Paul Makonda amedai kuwa anapiga kura ya 'ndio' kwa niaba ya vijana wote wenye akili timamu na kwa niaba ya wanachama wa Jamiiforums.

Mimi ni kijana mwenye akili timamu, na mwanachama wa Jamiiforums.

Sijamtuma Paul Makonda na wala sitaki kuwakilishwa nae katika hili, aache kujipendekeza kwangu na wana JF wenzangu kwani hatukukaa kikao chochote tukamtuma atuwakilishe.

Ajisimamie mwenyewe kama anajiamini, asitafute 'kick'!

Sikiliza alivosema eti anatuwakilisha wanajamiiforums.


[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189356&d=1412071154[/JFMP3]
Ana akili za kuku hawezi kuniwakilisha mtu kama huyo anajipendekeza
 
Makonda wewe unaugonjwa wa akili?mimi nikutume uniwakilishe?ili iweje?kinyonga kabisa wewe.mods fungia jinga hili.
 
Leo katika Bunge Maalum la Katiba huyu bwana, Paul Makonda amedai kuwa anapiga kura ya 'ndio' kwa niaba ya vijana wote wenye akili timamu na kwa niaba ya wanachama wa Jamiiforums.

Mimi ni kijana mwenye akili timamu, na mwanachama wa Jamiiforums.

Sijamtuma Paul Makonda na wala sitaki kuwakilishwa nae katika hili, aache kujipendekeza kwangu na wana JF wenzangu kwani hatukukaa kikao chochote tukamtuma atuwakilishe.

Ajisimamie mwenyewe kama anajiamini, asitafute 'kick'!

Sikiliza alivosema eti anatuwakilisha wanajamiiforums.


[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189356&d=1412071154[/JFMP3]
Tatizo huyu domo lake kubwa kama chai jaba na kazi yake kuropoka
 
Kwa kauli Hii ya makonda inathibitisha uhuni wa
wa jumbe wa bunge la katiba walivyo
wanafiki nini kamtuma kama Si njaa zao"!
 
Mimi huwa namuona kama hamnazo au nyie wana JF huwa mnamuonaje

Inaonyesha wazazi wake waliitungua mimba wakiwa wamelewa chang'aa. Wakati mwingine mijitu kama hiyo inavuta bangi asubuhi, mchana na jioni. Hiyo ndiyo Tanzania ya kesho, pongezi kwa waliowazaa na kuwalea!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: ERO
Nataman ningekuwa na uwezo ningemfungia kabisa. Mambo mengne bwana mm mwana jf cjawahi hata kuona uz wake wa kutuuliza mawazo yetu. Makonda aibu na iwe juu yako
 
Kuwa members wa jamiiforums tumemtuma.........??? Lini. Anajipendekeza.
 
Inaonyesha wazazi wake waliitungua mimba wakiwa wamelewa chang'aa. Wakati mwingine mijitu kama hiyo inavuta bangi asubuhi, mchana na jioni. Hiyo ndiyo Tanzania ya kesho, pongezi kwa waliowazaa na kuwalea!!!!!!
Bangi ni jani takatifu, kulivuta kunakuweka karibu na Mungu na hukufanya utafakari maisha. Wapuuzi kama Makonda hawawezi kuwa miongoni mwa watumiji wa bhange, labda mihadarati au pombe.
 
Hakuna kitu kigumu kama kulazimisha kupendwa. Makonda ndugu yangu umekuwa jongoo mpenda watu na watu ...... Kama kweli unadhani unawawakilisha members wa jf hebu jaribu kuangalia ni wangapi hapa wameonyesha kukubali. Na hii ya kudhani wewe na chama chenu mnakubalika ni kwa ajili mmekuwa mkilitumia jeshi la polisi, tume ya uchaguzi na rushwa ili mbaki madarakani. Nadhani kwa hapa ilipo umejionea mwenyewe kwamba sio wewe wala chama chako hakikubaliki na hao mnaojifanya mnawawakilisha.
 
Mm namshangaa eti anajiita ana akil timamu na wakt cc tunajua ni chizi,kwanz mm pia cjamtuma na asijipendekeze kwangu!
 
Back
Top Bottom