Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Kuna dada nilimkopesha elfu thelathini nilivoanza kumdai akasema atanilipa lakini mwishoni akanisingizia kuwa namtongoza na nisimpigie tena simu.Lakini namdai na sijamtongoza je pesa yangu itapatikana vipi?