Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Confirm sasa kama umeambiwa kufanya ivo ili account yako ya primo iweze kua active... Click ku confirm, then ebu nenda kwenye Inbox ya E-mail yako kule kuna SMS yenye link ya primo ya kuconfirmia watakua wamekutumia....

NB; Confirmation hii inafanyika nje ya app ya primo kupitia E-Mail yako....
Mkuu binafsi nmeshindwa, nisaidie kupata namba na confirmation code zake mkuu unitumie mimi nibaki kusajili tu kwenye whatsApp maana imenishinda.

Msaada tafadhali.
 
Mkuu binafsi nmeshindwa, nisaidie kupata namba na confirmation code zake mkuu unitumie mimi nibaki kusajili tu kwenye whatsApp maana imenishinda.

Msaada tafadhali.
Jitihada zako zmekomea wap hasa ili nikusaidie kuendelea?
 
Hapana mkuu.... Iyo ya Whatsapp mbili katika sim moja ni case nyingne.... Ukitaka kurun Whatsapp mbili kwenye sim moja download application ya whatsapp nyingne inaitwa GBWhatsApp....
Au Parallel Space mkuu
 
Nurudin Jr na GIPAMA.... Na wale wote walioshindwa kujiunga kwenye primo hebu pakueni hii app hapa>>>>https://d0.winudf.com/b/apk/Y29tLnZ...ON&k=0852d6b7190334a2d72165f7c420ef7e5944b1ad

Kisha fanyeni ku SIGNUP ni just one click tu kwa kutumia Facebook account yako tayari unakua umeshatengeneza account ya "VirtualSIM" ukimalza..... Utapewa namba pale ya STATES {+1........
Kuipata ingia kwenye setting ya VirtualSIM then "My phone numbers" click apo utaiona kwa juu kabisa na wamekwambia ina expire kwa siku 1.....So ichukue na kajiungie WhatsApp kabla na kwenye ku confirm codes kwenye What'sapp chagua by "CALL" kama ilvokua kule kwenye primo.....

Lakini cha kushangaza App hii ndani ya seconds kadhaa tu inarespond WhatsApp call mapema na utatajiwa pale "Confirmation codes" za WhatsApp tena inatajwa zaidi ya mara 4.....so utai note na kwenda kuiweka kule kwenye WhatsApp na account yako itakua confirmed na utakua tayari ushakwea pipa kwenda kwa DONALD TRUMP kumsabahi...!!!!
 
Nurudin Jr na GIPAMA.... Na wale wote walioshindwa kujiunga kwenye primo hebu pakueni hii app hapa>>>>https://d0.winudf.com/b/apk/Y29tLnZ...ON&k=0852d6b7190334a2d72165f7c420ef7e5944b1ad

Kisha fanyeni ku SIGNUP ni just one click tu kwa kutumia Facebook account yako tayari unakua umeshatengeneza account ya "VirtualSIM" ukimalza..... Utapewa namba pale ya STATES {+1........
Kuipata ingia kwenye setting ya VirtualSIM then "My phone numbers" click apo utaiona kwa juu kabisa na wamekwambia ina expire kwa siku 1.....So ichukue na kajiungie WhatsApp kabla na kwenye ku confirm codes kwenye What'sapp chagua by "CALL" kama ilvokua kule kwenye primo.....

Lakini cha kushangaza App hii ndani ya seconds kadhaa tu inarespond WhatsApp call mapema na utatajiwa pale "Confirmation codes" za WhatsApp tena inatajwa zaidi ya mara 4.....so utai note na kwenda kuiweka kule kwenye WhatsApp na account yako itakua confirmed na utakua tayari ushakwea pipa kwenda kwa DONALD TRUMP kumsabahi...!!!!
Mkuu, juhudi zangu za kukwea pipa znagonga mwamba, nmetumia hyo virtualSIM nimefanya kila kitu ila kwenye kuregist whatsApp imeniletea hayaView attachment 524222
Screenshot_2017-06-15-08-31-33.png
 
Nurudin Jr na GIPAMA.... Na wale wote walioshindwa kujiunga kwenye primo hebu pakueni hii app hapa>>>>https://d0.winudf.com/b/apk/Y29tLnZ...ON&k=0852d6b7190334a2d72165f7c420ef7e5944b1ad

Kisha fanyeni ku SIGNUP ni just one click tu kwa kutumia Facebook account yako tayari unakua umeshatengeneza account ya "VirtualSIM" ukimalza..... Utapewa namba pale ya STATES {+1........
Kuipata ingia kwenye setting ya VirtualSIM then "My phone numbers" click apo utaiona kwa juu kabisa na wamekwambia ina expire kwa siku 1.....So ichukue na kajiungie WhatsApp kabla na kwenye ku confirm codes kwenye What'sapp chagua by "CALL" kama ilvokua kule kwenye primo.....

Lakini cha kushangaza App hii ndani ya seconds kadhaa tu inarespond WhatsApp call mapema na utatajiwa pale "Confirmation codes" za WhatsApp tena inatajwa zaidi ya mara 4.....so utai note na kwenda kuiweka kule kwenye WhatsApp na account yako itakua confirmed na utakua tayari ushakwea pipa kwenda kwa DONALD TRUMP kumsabahi...!!!!
Njia hii mkuu ilinipa matumaini ila pale kwe whatsapp nime call imegoma kuita na nimeambie nicheki namba
 
Nimerudi kwenu wote mlioshiriki kutuelekeza jinsi gani tunaweza kutumia namba ya USA whatsapp bila kupanda ndege kuwaambia asanteni sana tena sana mungu awaongoze katika kila jambo kwani nahisi nimepata njia ya kukwepa kuombwa vocha na madem wa group now ntawaambia nipo USA huku hakuna Haloteli , airtel, zantel wala smart
 
Nimerudi kwenu wote mlioshiriki kutuelekeza jinsi gani tunaweza kutumia namba ya USA whatsapp bila kupanda ndege kuwaambia asanteni sana tena sana mungu awaongoze katika kila jambo kwani nahisi nimepata njia ya kukwepa kuombwa vocha na madem wa group now ntawaambia nipo USA huku hakuna Haloteli , airtel, zantel wala smart
Hahahaa....
 
Download app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......

Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Mbona kwangu inagoma
e0d8f451b8dea358671e921f42b0f80a.jpg

Inaniandikia hivo
 
nishatongozwa na namba hizo.au ni wew nini?maana mkikataliwa mnavaa bukta za wazunguuuu
 
Back
Top Bottom