Shosty, kwanza pole kama ni wewe au yeyote yule. Look, maisha bwana hayana formula, cha msingi inabidi uwe na back-up, I mean plan B, just in case. Hey, natania mwaya, nilitaka kukusahaulisha tu kidogo, let me be serious sasa;
1. Nini cha kufanya uendelee kuwa we strong?
Simple. Pretend as if nothing has ever happened. Soma vitabu na majarida mbalimbali, angalia movies na series, linganisha cases za mahusiano unaweza kuta your case is far better kuliko wengine na wanadunda. Ikumbukwe hamkuzaliwa pamoja ati, mmekutana ukubwabi so why the suffer. Love is SO BIG sweet, dont let it end there okay? At the same time, usikurupuke kuingia kwenye mahusiano mapya kwani it might be worse than the previous one, though you might be luck as well. Chunguza kwa nini hayo mahusiano yamevunjika ili kama ni wewe mwenye mapungufu basi rekebisha on ur nest relation. Kama mapungufu yalikuwa kwa jamaa, then kuwa mwangalifu for the next guy, kabla haujakolea kisawasawa, angalia kama ana vi-element kama vya yuleeee alokutosa (easy to read them). Akili kichwani shosty
2. Nini cha kufanya ili lisikusumbue na ufanyeje ili kusahau mapema?
Kwa hapa shosty, kwanza kama bado una mhitaji best then you should maintain him though ni pagumu hapa! Usiende kwa waganga wala nini (hakuna dawa za mapenzi dear). Jaribu kama unaweza mrudisha then rekebisheni tofauti zenu, if it'll work fine, otherwise let him go and forget about him completely.
Of course mtakuwa na ups and downs za hapa na pale, so usikumbuke mazuri yoyote alokutendea, kila mazuri yakija yablock na yale MABAYA alokutendea, gradually utamsahau na utaona bora hata ameenda, then you move on. WAPO dear, sio YUPO lol (Najua hapa ntashushuliwa lakini ndo ukweli wenyewe).
lizy.