Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

hehehehe Nyamayao na hit na kurun totozi kama zile za mabibo au main campus au pale IFM na n.k lakini huyu ndo atakuwa mwandani maisha yangu namkabidhi yeye akitaka anitafune au animeze kabisa.

MJ1 hebu msaidie Fidel huku jamani....ckujua uki approach unatia huruma hivyo...lol, ndege mjanja.
 
MJ1 hebu msaidie Fidel huku jamani....ckujua uki approach unatia huruma hivyo...lol, ndege mjanja.

Swity kupenda kubaya yaani watu wanatoana roho hivi hivi kwa ajili ya pendo p'se mama msaada tafadhali unaniacha njia panda.
 
any update mwanaj1?

Yo Yo am still hanging on a thin thread my dear thanx for your concern.

Guys have been confusing me more wapo walosema nivumilie kwani ndoa si lelemama na nikumbuke wazazi wetu wamepitia mangapi hadi sasa wako pamoja (nisifikiri wao walikuwa wanakula bata tu kila siku) So nigangamale kama mwanamke!!

Others mmeniambia nisikilize moyo wangu yaani kama nataka kutimua basi nianze bila kumtizama wala kukumbuka nyuma (ukitaka kumkoma nyani giladi, usimtizame usoni si ndiyo). Mh matters of the heart .............

Since the situation in the house doesnt seem to change(bado hali ni ile ile-nafikiri anasubiri nitakapoamua kubeba rambo zangu ndo azungumze maana zaidi ya salamu hakuna kitu ni za saa hizi... za asubuhi full stop!! mimi nikimwambia I need to talk to you hanijibu kitu na akija anaendelea tu na shughuli zake so am stranded!!
 
Yo Yo am still hanging on a thin thread my dear thanx for your concern.

Guys have been confusing me more wapo walosema nivumilie kwani ndoa si lelemama na nikumbuke wazazi wetu wamepitia mangapi hadi sasa wako pamoja (nisifikiri wao walikuwa wanakula bata tu kila siku) So nigangamale kama mwanamke!!

Others mmeniambia nisikilize moyo wangu yaani kama nataka kutimua basi nianze bila kumtizama wala kukumbuka nyuma (ukitaka kumkoma nyani giladi, usimtizame usoni si ndiyo). Mh matters of the heart .............

Since the situation in the house doesnt seem to change(bado hali ni ile ile-nafikiri anasubiri nitakapoamua kubeba rambo zangu ndo azungumze maana zaidi ya salamu hakuna kitu ni za saa hizi... za asubuhi full stop!! mimi nikimwambia I need to talk to you hanijibu kitu na akija anaendelea tu na shughuli zake so am stranded!!

Mama bado hifadhi yako ipo pale pale usilazimishe kwa mtu ambaye hakupendi ana kudharau why kwa nini uteseke? jamani kidonda hicho mimi ndo tiba yake mama.
 
MJ1 hebu msaidie Fidel huku jamani....ckujua uki approach unatia huruma hivyo...lol, ndege mjanja.

Mh nyamayao dada yangu hiyo sentensi ya Fidel imenifanya nisahau machungu japo kwa dakika moja- eti nikitaka kumtafuna nimtafune .... ah haya tena makubwa ila moyo wangu umekufa ganzi mwenzenu wote nawaona wa baba mmoja!
 
Mama bado hifadhi yako ipo pale pale usilazimishe kwa mtu ambaye hakupendi ana kudharau why kwa nini uteseke? jamani kidonda hicho mimi ndo tiba yake mama.

...... Ah Fidel basi taratibu mwenzangu maana speed yako inanitisha mie bado mke wa mtu ujue hivyo eeh sijakatisha mkataba bado! Nisijetoka akasema nimetoka kwa sababu yako Fidel akasafika makosa yake yote na mie ndo nikaonekana mbaya.... hebu niache kwanza lol
 
maana zaidi ya salamu hakuna kitu ni za saa hizi... za asubuhi full stop!! mimi nikimwambia I need to talk to you hanijibu kitu na akija anaendelea tu na shughuli zake so am stranded!!
kwani kisa kilianzia wapi? ilikuwaje mpaka akatamka maneno yale? au kuna kingine siri yako?
mna muda gani ndani ya ndoa?
 
kwani kisa kilianzia wapi? ilikuwaje mpaka akatamka maneno yale? au kuna kingine siri yako?
mna muda gani ndani ya ndoa?

........... Ni kisa kidogo sana ambacho hata mtoto mdogo atashangaa ila kwa sababu za usalama wangu plz I cant put it here- in case anapitiaga humu!!.
 
........... Ni kisa kidogo sana ambacho hata mtoto mdogo atashangaa ila kwa sababu za usalama wangu plz I cant put it here- in case anapitiaga humu!!.
kama unaweza jus PM.......i can help kwa ushauri...
 
Mh nyamayao dada yangu hiyo sentensi ya Fidel imenifanya nisahau machungu japo kwa dakika moja- eti nikitaka kumtafuna nimtafune .... ah haya tena makubwa ila moyo wangu umekufa ganzi mwenzenu wote nawaona wa baba mmoja!


huo ndio ukweli, hata ukitoka hapo ucdhani huko uendako mambo yatakuwa tambarare kama ulivyosema"wote wa baba mmoja".....
 
...... Ah Fidel basi taratibu mwenzangu maana speed yako inanitisha mie bado mke wa mtu ujue hivyo

Sawa kwani nimekataa je lakini mzee akiamua kukulima talaka utafanyaje mama? Sawa kuna kijana anakuja kwa moto mkali anaitwa Sipo naona anahatalisha usalama wangu ndo maana nipo speed.
Hivi MJ unajua limbwata?
 
Sawa kwani nimekataa je lakini mzee akiamua kukulima talaka utafanyaje mama? Sawa kuna kijana anakuja kwa moto mkali anaitwa Sipo naona anahatalisha usalama wangu ndo maana nipo speed.
Hivi MJ unajua limbwata?

Limbwata?... nalisikiaga kaka silijui ... eh tell me more about it!
 
Yo Yo am still hanging on a thin thread my dear thanx for your concern.

Guys have been confusing me more wapo walosema nivumilie kwani ndoa si lelemama na nikumbuke wazazi wetu wamepitia mangapi hadi sasa wako pamoja (nisifikiri wao walikuwa wanakula bata tu kila siku) So nigangamale kama mwanamke!!

Others mmeniambia nisikilize moyo wangu yaani kama nataka kutimua basi nianze bila kumtizama wala kukumbuka nyuma (ukitaka kumkoma nyani giladi, usimtizame usoni si ndiyo). Mh matters of the heart .............

Since the situation in the house doesnt seem to change(bado hali ni ile ile-nafikiri anasubiri nitakapoamua kubeba rambo zangu ndo azungumze maana zaidi ya salamu hakuna kitu ni za saa hizi... za asubuhi full stop!! mimi nikimwambia I need to talk to you hanijibu kitu na akija anaendelea tu na shughuli zake so am stranded!!

Leo hata sijui niseme nini? Nasikia kichwa kinaniuma kama kuna mtu ana panadol please aniPM
 
Leo hata sijui niseme nini? Nasikia kichwa kinaniuma kama kuna mtu ana panadol please aniPM

Kunywa Konyagi kiloba au piga Valeur ukikosa hiyo piga Vodka kitatulia tu na utachangamka.
 
Mpige nalo hilo atanywea mwenyewe atatulia saa 12 atakuwa yupo ndani, atakusaidia mpaka kufungua nguo na kupika.

..Ah Fidel mpenzi sasa hapa ntakuwa napendwa kweli au nguvu za limbwata? likichuja je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom