Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

hehehehe umeanza kauzibe Nyamayao umejuaje mm nitamuumiza? Hapa atakuwa amefika na atapumnzika moyoni kila week end tutakuwa pamoja mpaka saloon nitamsindikiza chakula nitamsaidia kupika n.k


umesahau kuwa wewe ni mzee wa hit&run?
 
.... Sipo aksante kwa offer!. Yeye pia aliponitaka aliniahidi hayo hayo mara oh haki tena hutojuta oh utashangaa kwa nini hatukukutana mapema na maneno mangine mengi matamu lakini yote leo yamekuwa shubiri. Sipo nawe ni mwanadamu kaka yangu.

MwanajamiiOne
Mie tayari nina experience fulani na mapenzi na kwa jinsi nilivyoona wewe unaweza sana kufanya ndoa yetu ikawa na aman na upendo. Husiufanye moyo wako kuwa mgumu kwa kuniona mie ni mwanaume kama hao waliopita, nina tofauti kubwa sana my dear. Please pen ur heart for me and you will never regret mumy
 
Duh Mwanajamii inaonyesha umeikubali ofa hiyo na mm utaniacha na nani mammy?

Mamaaaaaaaaaa
kumbe Fidel80 unajua kumwaga chozi kiasi hiki, pole mkuu, yaani MJ1 ndo umeshamkosa baba hata umwage ya damu humpati ng'o

Ila Nyamayao kiboko bwana unaona alivyoua kiaina ' wewe mzee wa ku-hit&run" halafu pia amesahau wewe pia ni mzee wa express yourself
 
haa kweli kufa kufaana

Nyamayao nilijua tu utaharibu dada yangu

Ngoja nikunong'oneze jambo naomba unipigie debe kwa MJ1 ili nimpate awe mke wangu halafu wewe na mumeo ndio mtasimamia harusi yetu, please dada nifanyie hiyo kazi najua MJ1 anakusikiliza sana
 
Nyamayao nilijua tu utaharibu dada yangu

Ngoja nikunong'oneze jambo naomba unipigie debe kwa MJ1 ili nimpate awe mke wangu halafu wewe na mumeo ndio mtasimamia harusi yetu, please dada nifanyie hiyo kazi najua MJ1 anakusikiliza sana


MJ1 shughuli unayo, sasa hapa bado hajawatangazia kama kaachia ngazi jumla, akiwatangazia c ndo balaa lenyewe?...lol
 
Haya sasa,
Masaundist wameanza.
Hivi wewe Sipo unataka kugombanisha wanaJF eeh?
Hivi hukualikwa juzjuz kwenye send-off yake? Ilinoga sana ndugu, na Masanilo alipendeza kweli, maana ndo mwenye mali.

Mwalyambi30 mie sio soundist bwana, nampenda MJ1 kutoka ndani ya moyo wangu. Mie siwezi kugombanisha wanaJF labda MJ1 hatugonganishe otherwise anayeweza kugombanisha watu hapa ndani ni Fidel80. Masanilo kwani yupo kwenye huu mchakato Mwalyambi30. Afterall Masanilo haniwezi mimi Mmasai bwana
 
MJ1 shughuli unayo, sasa hapa bado hajawatangazia kama kaachia ngazi jumla, akiwatangazia c ndo balaa lenyewe?...lol

Shosty mbona maada imeanza kubadilika tena?angalia usitendwe tena.naona vija huku wameaanza kulia mwanajamiione.

Hapo chacha unalo
 
umesahau kuwa wewe ni mzee wa hit&run?

hehehehe Nyamayao na hit na kurun totozi kama zile za mabibo au main campus au pale IFM na n.k lakini huyu ndo atakuwa mwandani maisha yangu namkabidhi yeye akitaka anitafune au animeze kabisa.
 
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu lol aksante dada maana alivyoyapamba maneno kidogo niilambe asali lol!

Mama nahit na kurun totozi ambapo nipo single unajua ukiconcetrate sana kwa totozi unaweza usijenge dawa ili usiombwe vocha,simu kali,fedha za vekesheni,saloon,mafuta n.k ndo maana nihit basi biashara imekwisha hata ofa za Ndovu,Redbull,Konyagi zinakata.
 
Mama nahit na kurun totozi ambapo nipo single unajua ukiconcetrate sana kwa totozi unaweza usijenge dawa ili usiombwe vocha,simu kali,fedha za vekesheni,saloon,mafuta n.k ndo maana nihit basi biashara imekwisha hata ofa za Ndovu,Redbull,Konyagi zinakata.

Fidel80
hapa tupoooo pamoja kaka, no concetration kwa mademu wa kileo unaweza fulia kabla ya wakati. Mtu pekee wa kumpa concetration akinikubali kwa sasa ni MJ1.
 
Fidel80
hapa tupoooo pamoja kaka, no concetration kwa mademu wa kileo unaweza fulia kabla ya wakati. Mtu pekee wa kumpa concetration akinikubali kwa sasa ni MJ1.

Hahahaha dogo huyu wewe endelea kula kwa macho huwezi muziki munene kwanza amekuzidi weight pili age nayo amekuzidi.
 
Shosty mbona maada imeanza kubadilika tena?angalia usitendwe tena.naona vija huku wameaanza kulia mwanajamiione.

Hapo chacha unalo


Chaku hiyo ni kawaida kabisa
 
MJ1,
Rescuer wengi JF shosty!, shindwa mwenyewe ati.
 
Shosty mbona maada imeanza kubadilika tena?angalia usitendwe tena.naona vija huku wameaanza kulia mwanajamiione.

Hapo chacha unalo

mami saa hivi cna hata w kunitenda, naburuzana tu na baba kayai wangu, hapa nipo makini kumkomboa MJ1.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom