Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Hujambo mwaya ............Habari za siku mingi? wanasema ati
Love doesn't have to hurt..........if it doesn't work you should call it quit .........
Tatizo wangi haswa akina dada wanaishia kusema ati jamaa
kanitumia,.... mie hii concept bado kuielewa maana hata na
mdada si anakuwa anatumia pia?
 
Kama mapenzi ndio haya,naona bora nikimbie
Naona sura ya furaha, iweje leo anibadilikie
Nimechoshwa na vituko na vipigo, majeraha kila siku mpenzi wanguu
Hivi kwa niniiiii, eh eh huniaminiiiiiiiiiiiX 2

Nikikupata milele nitafurahi, nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai
Mapenzi sio sura ma, mapozi kama wengi wanavyodhani bali ni hiyo tabia, busara......X 2
 
Nikikupata milele nitafurahi, nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai
Mapenzi sio sura ma, mapozi kama wengi wanavyodhani bali ni hiyo tabia, busara......X 2
Penzi nakupa, lilokuwepo kitambo
Halitakufa, labda ulete vijimamboX2

Moyo ungekuwa na mfupa, mabaki ungeyapata
lakini kamili u nyama, ukioza umeoza

Una thamani moyo wako kwangu mimi,
Natathmini jinsi gani ya kuutunzaX2

Najua huna mfupa, nikicheza nimepoteza
kwani kamili u nyama, ukioza umeoza

Nipatie moyo wako, niuweke mpenzi wee
sitatupa asilani, moyo wako jalalani
Usijeliwa na mafunza, nisije upoteza eh
sikitiko nikiona moyo wako jalalani............. Jide & Papii Kocha
 
Penzi nakupa, lilokuwepo kitambo
Halitakufa, labda ulete vijimamboX2

Moyo ungekuwa na mfupa, mabaki ungeyapata
lakini kamili u nyama, ukioza umeoza

Una thamani moyo wako kwangu mimi,
Natathmini jinsi gani ya kuutunzaX2

Najua huna mfupa, nikicheza nimepoteza
kwani kamili u nyama, ukioza umeoza

Nipatie moyo wako, niuweke mpenzi wee
sitatupa asilani, moyo wako jalalani
Usijeliwa na mafunza, nisije upoteza eh
sikitiko nikiona moyo wako jalalani............. Jide & Papii Kocha

Hii inahusu nini aisee....kulivaa pendo sio?
 
Huu :A S 12: au huu :A S-heart-2:
BTW: Inachukua muda gani kwa mtu kuvua pendo? Na kuvaa inachukua siku ngapi?
NAdhani inachukua muda mrefu kulivua pendo ulilolizzoea na muda mfupi kulivaa lile unaloona linafaa
 
NAdhani inachukua muda mrefu kulivua pendo ulilolizzoea na muda mfupi kulivaa lile unaloona linafaa

main.doctor-of-philosophy.jpg


...mnh, dada'ngu weye unastahiki kutunukiwa udaktari wa falsafa kwenye fani hii.

 
sasa una-manage vipi hiyo transition ya penzi la zamani na hilo jipya?

Unamaanisha kama kuna wakati anakua uchi (bila pendo?) au anavaa kabisa pendo jipya ndipo avue la zamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom