Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

Hapo Mwana tafuta kipoozeo cha pembeni anakuwa spare tyre ukiona uvundo unajirestisha kwa spare wewe huoni hata mafiga yapo matatu.

Asiwe kama pikipiki inayotegemea taa moja giza likiingia kuwa kama gari ambayo ina mataa 2, moja ikizima nyingine inaendelea kuangaza mpaka kuna kucha, mie nipo tayari kuwa taa ya pili :kev:
 
Orait....asante kwa kunisaidia kumjua mvua pendo...

Kama mapenzi ndio haya,naona bora nikimbie
Naona sura ya furaha, iweje leo anibadilikie
Nimechoshwa na vituko na vipigo, majeraha kila siku mpenzi wanguu
Hivi kwa niniiiii, eh eh huniaminiiiiiiiiiiiX 2
 
Kama mapenzi ndio haya,naona bora nikimbie
Naona sura ya furaha, iweje leo anibadilikie
Nimechoshwa na vituko na vipigo, majeraha kila siku mpenzi wanguu
Hivi kwa niniiiii, eh eh huniaminiiiiiiiiiiiX 2

Thats no more....surely...
 
pole jaman
b strong
mwombe mungu akupe ujasiri u wl pass t
pole ma dear
 
nilikuwa nalo penzi,muumba yu shahidi
lilikuwa la mapozi,mapenzi yaso hasid
wakati ulituenzi,mawazo yakakaidi
Nategemea kabisa,utasahau ya kale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom