Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

hahahah hebu muacheni De Novo ni mtumishi wa Bwana anayechunga kondoo wake vizuri amah!!

Nilikumiss pis my dia si wajua tena valentino ilinibidi kwenda kudeka kwa mama kidogo lol! But am much better now thanx

safi sana kama ulikuwa kwa mama!! najua ulipata true love huko duh!!! umenikumbusha the last valentine i spent with my mom in 2004 and it was true the last one..........
 
haijesha! mwenzio niko hoi,, ila bahati 'mbaya' nikaiona hii

Nipigieeeee.. .....

binamu nipigieeeeeeeeeeeeeeeeee
ntakupigia honie.......................
 
safi sana kama ulikuwa kwa mama!! najua ulipata true love huko duh!!! umenikumbusha the last valentine i spent with my mom in 2004 and it was true the last one..........

Kama unamaanisha nilivyoelewa pole dada yangu ni mapenzi ya MUNGU
 
kweli ni mapenzi ya Mungu!! namshukuru pia kwa kuwa alinipa mama kama yule!!!!

Ukuu wa Mungu.....Mungu siyo MCHOYO kiasi hicho..life goes on B! we sail in the SAME boat!

Nipigie! Binamu nipigie (ngoja nende dukani!)
 
Ukuu wa Mungu.....Mungu siyo MCHOYO kiasi hicho..life goes on B! we sail in the SAME boat!

Nipigie! Binamu nipigie (ngoja nende dukani!)

faraja yake imetanda kooote!!! Asante Mungu maisha yanaendelea B!!

ntakupigia darling...........
mi nawe kitu kimoja................
mi nawe lengo ni moja..................
(Goeff kaniambukiza mapenzi kwa huu wimbo)
 
faraja yake imetanda kooote!!! Asante Mungu maisha yanaendelea B!!

ntakupigia darling...........
mi nawe kitu kimoja................
mi nawe lengo ni moja..................
(Goeff kaniambukiza mapenzi kwa huu wimbo)

Mh!!

Kaizer kumbe ndo mana ukamimwaga kwenda kwenye Iringa.
 
Mh!!

Kaizer kumbe ndo mana ukamimwaga kwenda kwenye Iringa.

hehehe...uyo binamu yangu wahamu kabisa uyo! lol.....kwenye iringa mambo ya wow wow wow yangekutia 'najisi' bure...kumbuka "ukimpenda, utamlinda"
 
faraja yake imetanda kooote!!! Asante mungu maisha yanaendelea b!!

Ntakupigia darling...........
Mi nawe kitu kimoja................
Mi nawe lengo ni moja..................
(goeff kaniambukiza mapenzi kwa huu wimbo)
.......:😀

mh!!

kaizer kumbe ndo mana ukamimwaga kwenda kwenye iringa.

....................😱
 
Ndahani nashukuru kwa kunipa moyo ila mh maana kama kuvumilia ni mwngi nimevumilia lakini mwishoni naona nashindwa. kwa nini mimi tu, mimi tu niwe nabembeleza kila siku hata kama makosa kafanya yeye?
mimi tu niwe naumia kwa sabau yake?... kwa nini mimi tu ndo niwe nahangaika to make it work? ... mimi tu why mimi tu? jamani ah

ooh no pole sana!!!
Hebu rudia tena kuusoma ujumbe wako katika signature!!!
The Sun rises everyday, and every night the stars shine. If today was a disappointment, remeber thta the cycle of life goes on. Tomorrow will be a new start........ Maria Fontaine
usiruhusu katika maisha haya kukumbatia mambo yanayokufanya ukose furaha!! Unahitaji kuwa na furaha, walau na nafsi yako, kuhusu wengine wanaoweza kukudanganya wanataka kukufanya uwe na furaha wanaweza wasiwe wanamaanisha. Ukijinyima furaha mwenyewe, unajitendea ukatili usio na kifani. Una uamuzi wa kuwa na furaha au huzuni!! Kila la kheri dada/mama.
 
Wakati naamka leo asubuhi huu wimbo ulikuwa unapigwa redioni leo na umenikaa kichwani hadi muda huu yameniijia mawazo mengi sana ila nilichowaza ni siku nikikutana na huyu Mwasiti nitamuuliza aliandika kutokana na kisa cha kweli au ni idea tu ilimuijia kichwani sababu wimbo una maneno mazito sana.
 
Wakati naamka leo asubuhi huu wimbo ulikuwa unapigwa redioni leo na umenikaa kichwani hadi muda huu yameniijia mawazo mengi sana ila nilichowaza ni siku nikikutana na huyu Mwasiti nitamuuliza aliandika kutokana na kisa cha kweli au ni idea tu ilimuijia kichwani sababu wimbo una maneno mazito sana.
Eh.....babu sina cha kusema.......umeamua kunikumbushia machungu but hey..its a way of life and through this we are made much, much more strong. ah.....hata siamini nilipita kule.......afu sasa hivi kaona nimesimama analeta za kuleta jamani!!............
 
Eh.....babu sina cha kusema.......umeamua kunikumbushia machungu but hey..its a way of life and through this we are made much, much more strong. ah.....hata siamini nilipita kule.......afu sasa hivi kaona nimesimama analeta za kuleta jamani!!............

Mjukuu utanisamehe I had to kwasababu ambazo unazijua, sometimes you can imagine a certain song might be reflecting matatizo uliyonayo na ndio hapo unajiuliza hivi huyu mwandishi alikuwa katika mazingira gani wakati anaandika huo wimbo, I am glad you are through it and now you are strong more than ever
 
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Mafiga yakiwa matatu, nawe si uchomeke kuni zako kupitia milango mitatu ili moto uwake na chakula kiive? Aidha, when this ending situation happens, there will be no discussion, but full of peace of mind and automatically you will be conformable and ready for whatever you decide....!
 
Wakati naamka leo asubuhi huu wimbo ulikuwa unapigwa redioni leo na umenikaa kichwani hadi muda huu yameniijia mawazo mengi sana ila nilichowaza ni siku nikikutana na huyu Mwasiti nitamuuliza aliandika kutokana na kisa cha kweli au ni idea tu ilimuijia kichwani sababu wimbo una maneno mazito sana.

Habari yako The Finest.........
 
Wewe ndio unamwacha au?Ocay mimi naona uongee naye kabla hujamuacha,jaribu kudescribe situation ilivyo na ambavyo kumekuwa hakuna mabadiiko na hatua unayotaka kuchukua sasa forthe sake of ur future peace!!Nafikiri aliyekosea ana haki ya kujua kosa lake itamsaidia in future,lakini pia watu wengine hukosea wasijue kabisa wanakukosea na huenda ukiongea naye anaweza kujielewa zaidi!Pia mazungumzo yatakuweka kwenye nafasi nzuri ya kupunguza uchungu ulionao sasa!!TALK TALK TALK!!But pia siyo mwisho wa dunia unastahili upendo zaidi na doesnt mean LOVE haipo!!Just give it time utapona tu na pia hizi wiki za mwanzoni make sure unakaa na marafiki saa zote usikae peke yako sbb utapata nafasi ya kuwaza!!Baada ya muda kupita utapona tu rafiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom