Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Ewaa, MJ1 nadhani amesikia na akasikiliza. Uzuri hana neno ni mwelewa. Hujambo bibie?
Bro. nahisi unatafuta nyumba ndogo design.
Ewaa, MJ1 nadhani amesikia na akasikiliza. Uzuri hana neno ni mwelewa. Hujambo bibie?
Ewaa, MJ1 nadhani amesikia na akasikiliza. Uzuri hana neno ni mwelewa. Hujambo bibie?
sijambo mr wangu, hofu kwako.
mi wala usitie hofu, ni mzima kama ujuavyo,, eem usisahau ile dawa yangu eeh!🙄
mh nimewashtukia.. ulivyoibold, itslize na kuipa green color hiyo Mr. Inaonyesha kabisa jinsi ambavyo hukuitegemea toka kwa dadangu lol!! .......... 😛
Asa jamani, eeh...kisa cha kuconcentrate ivo kwen neno moja ni nini na mengine hujayaona? LOL🙂
Hiyo ni msisitizo tu,,, si unajua...😛
We unajua nnachokitafuta si mmekataa kudeclare hahahah am trying to prove it myself hehehehe...........😎
Kama unapata karaha badala ya raha huna budi kulivua pendo ,penzi ni two way traffic na ukipenda usipopendeka utateseka,wewe hutakuwa wakwanza na wala sio wa mwisho,uvumilivu kwetu wanadam una kikomo chake ,hakikisha tu kuwa wewe sio chanzo cha tatizo na umejaribu kwa dhat kusuluhisha na kuiokoa ndoa yenu kabla ya kuivunja kabisa usije kula matapishi yako baadae tutakushika pua dada ee.Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....
Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)
Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema
Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Kama unapata karaha badala ya raha huna budi kulivua pendo ,penzi ni two way traffic na ukipenda usipopendeka utateseka,wewe hutakuwa wakwanza na wala sio wa mwisho,uvumilivu kwetu wanadam una kikomo chake ,hakikisha tu kuwa wewe sio chanzo cha tatizo na umejaribu kwa dhat kusuluhisha na kuiokoa ndoa yenu kabla ya kuivunja kabisa usije kula matapishi yako baadae tutakushika pua dada ee.
Maneno mazito sana hayo mama.Ndahani nashukuru kwa kunipa moyo ila mh maana kama kuvumilia ni mwngi nimevumilia lakini mwishoni naona nashindwa. kwa nini mimi tu, mimi tu niwe nabembeleza kila siku hata kama makosa kafanya yeye?
mimi tu niwe naumia kwa sabau yake?... kwa nini mimi tu ndo niwe nahangaika to make it work? ... mimi tu why mimi tu? jamani ah
Maneno mazito sana hayo mama.
POLE SANA.
Lakini hiyo ndiyo raha ya maisha.
UNAMPENDA SANA MTU,wakati yeye anahisia kama zako.
Kupenda sana kuna raha yake,hata kama hupokei mapenzi sawia kutoka kwa yule umpendae.
Kuna siku utakaa na kukumbuka jinsi ulivyokuwa umempenda huyo ndugu, na beleave me,unapata raha kwa kumbukumbu hiyo.
wacha weeeee,sema nataniaMwanajamii pole sana.Mimi pia yamenikuta hayo kwa mke wangu.ukifanikiwa kulivua pls nitafute,itapendeza sana tukiwa pamoja maana wote tuna uzoefu wa misuko suko ya kwenye ndoa.
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....
Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)
Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema
Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Nimeshangaa maana ilishakuwa uvunguni De Novo.MJ
umefikia wapi na healing process yako ya kulivua pendo?
MJ
umefikia wapi na healing process yako ya kulivua pendo?
dah,
De Novo bana,.....
dah,
De Novo bana,.....
We hangover imekwisha? Mbona unasoma post za watu hadi unageuza page nyuma??
umeona eeeh!!! anajali. huyu yuko kiu-serious zaidi hii nimeipenda sana (kufanya follow up ni njia mojawapo ya kupima mafanikio na kujua upungufu ili ujipange upya)
hahaaaa we naye nilimis vituko vyako kweli!!!! huku kuna back page pia?? hiyo mbado sijaona MJ1