Naliona anguko la Kibanda

Hii njemba inayojiita masatu imeumia roho sana kwa kuona Chadema inataka kuvuka uchaguzi kwa salama. Umezoea kula vya kunyonga sio? Ngonya siku yaja huko CCM ulikozoea kupata vya bure mrija utakatwa.....

Kuvuka uchaguzi salama kwa kutumia shinikizo za baba mkwe? kama hiyo ndio salama then neno salama limepoteza maana!
 
Hii njemba inayojiita masatu imeumia roho sana kwa kuona Chadema inataka kuvuka uchaguzi kwa salama. Umezoea kula vya kunyonga sio? Ngonya siku yaja huko CCM ulikozoea kupata vya bure mrija utakatwa.....

Kumbe hii ni njemba! Mimi nilidhani ni demu ati!
 
Kuvuka uchaguzi salama kwa kutumia shinikizo za baba mkwe? kama hiyo ndio salama then neno salama limepoteza maana!

Inagawaje kila siku hapa huwa nazipinga hoja za mwana jamvi mwenzangu Masatu hasa zile zenye muonekano wa kuibeba CCM lkn kwa hili namuunga mkono kwa asilimia zote!

Iweje mtu ambaye ana sifa za kugombea cheo ndani ya CHADEMA wam-pressurize aondoe jina kwa sababu tu eti ya kulinda mshikamano wa chama lkn bila kutambua athari za kulindana huko ni kuua kidemokrasia?

Kwa hili ambalo akina Mtei wamelifanya siwezi kuwasamehe milele;wameibaka demokrasia yetu mchana kweupee tena mbele ya watu!
 
hamna kitu hapa zaidi ya:
-ushabiki
-hasira
-majungu

mwisho wa siku mtaelewa!mnashindwa kumlaumu aliyetoa jina lake ''kwa kukosa msimamo'',mnalaumu watu wengine.ndio athari za ''huyu ni kijana mwenzetu''
 
Napenda kuweka kumbukumbu zangu sawasawa kwamba wanaonijua ni mashahidi kwamba mwaka 2005 sikumuunga mkono Mwandosya katika mchakato wa uteuzi wa cha urais ndani ya CCM.

Wakati huo nilikuwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi Jumapili na kuelekea kwenye mchakato huo niliandika makala za uchambuzi kuhusu mchakato huo na kumbukumbu zipo kwamba nilimponda waziwazi Mwandosya nikisema bayana kwamba alikuwa ni mwanasiasa mchanga (kwa mantiki ya uzoefu ndani ya CCM na si umri wake), pili niliponda mkakati wake wa urais wa kushirikisha wapambe takriban wote toka mkoa wa Mbeya. Nitaambatanisha makala za wakati huo kulithibitisha hili. Makala zote zipo katika blogu yangu binafsi.

Pili nimesikitishwa na uongo wa wazi unaoenezwa na baadhi ya wanajamvi kwamba eti nimenunua magari matatu. Habari hizi si za kweli hata kidogo. Mwaka huu nimenunua gari mtumba kwa fedha zangu kidogo na nyingine za kukopeshwa na mkurugenzi wangu.

Tatu, sikumzuia Zitto na sikushiriki katika kikao cha wazee kilichofikia hatua kumshawishi aondoe jina lake na yeye mwenyewe akakubali. Kwa hiyo anguko langu nililokuwa nikilizungumzia ni lile la iwapo angegombea uenyekiti ambao tayari ameutema. Hili llimetunyima fursa ya kupima mbele ya safari ingekuwaje?
 
Mmh! kuna haja ya kuwa na icon ya dictionary somewhere katika JF, hii Kibanda hajakuelewa, sembuse mimi.

Yes 'nauseating nepotism' kama Kibanda mkwe wa Mtei na rafiki wa Mbowe, muajiriwa wa Chadema, then that article was absolute equivocal!
Kweli mkuu umelonga!Nilidhani ni mimi tu hadi nimejiona sijui kiingrish!Afadhali na mwingine umetoa uvivu.
 
Napenda kuweka kumbukumbu zangu sawasawa kwamba wanaonijua ni mashahidi kwamba mwaka 2005 sikumuunga mkono Mwandosya katika mchakato wa uteuzi wa cha urais ndani ya CCM.

Wakati huo nilikuwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi Jumapili na kuelekea kwenye mchakato huo niliandika makala za uchambuzi kuhusu mchakato huo na kumbukumbu zipo kwamba nilimponda waziwazi Mwandosya nikisema bayana kwamba alikuwa ni mwanasiasa mchanga (kwa mantiki ya uzoefu ndani ya CCM na si umri wake), pili niliponda mkakati wake wa urais wa kushirikisha wapambe takriban wote toka mkoa wa Mbeya. Nitaambatanisha makala za wakati huo kulithibitisha hili. Makala zote zipo katika blogu yangu binafsi.

Pili nimesikitishwa na uongo wa wazi unaoenezwa na baadhi ya wanajamvi kwamba eti nimenunua magari matatu. Habari hizi si za kweli hata kidogo. Mwaka huu nimenunua gari mtumba kwa fedha zangu kidogo na nyingine za kukopeshwa na mkurugenzi wangu.

Tatu, sikumzuia Zitto na sikushiriki katika kikao cha wazee kilichofikia hatua kumshawishi aondoe jina lake na yeye mwenyewe akakubali. Kwa hiyo anguko langu nililokuwa nikilizungumzia ni lile la iwapo angegombea uenyekiti ambao tayari ameutema. Hili llimetunyima fursa ya kupima mbele ya safari ingekuwaje?

Kwa kazi hii uliyomfanyia Mbowe(Mkurugenzi wako) ya kummaliza Zitto sidhani kama deni alilokukopesha atakudai tena.

swali jee makala haya ya kumchafua Zitto kabwe na kina KITILA ndio ulikuwa unataka huruma ya MKURUGENZI WAKO juu ya deni alilokukopesha?

KIBANDA umewahi kuandika makala kwenye Tanzania Daima juu ya siasa za Mbeya na Makundi yaliyopo kumsakama Mwandosya naomba ubishe hili?
jana hukuonekana hapa jamvini au ulikuwa kwenye PARTY ya kupongeza ya kamati ya Mbowe?
 
Hizi thread za kujadili watu zinaonyesha uwezo wa kufikiri unapungua na ni hatari tukianzisha thread za kijinga jinga kama hizi maana hazina faida kwa jamii.
Masatu sasa na wewe waanza kufulia.

Kwa mujibu wa KIBANDA kasema kuna wageni wa ajabu ajabu Chadema ambao Chadema inabidi iwachunguze sana. unajua kama na wewe mmoja wapo? toka umepewa kadi hata miezi mitatu haijafika, KIBANDA yuko makini hata ujikombe kwake.unaibu katibu mkuu huwezi kupewa.hujawahi kuhudhuria mkutano wa Chadema huu ndio mara yako ya kwanza, unawafanya Chadema wajinga wakupe cheo kienyeji? umefulia Chadema ina wenyewe.
 
Napenda kuweka kumbukumbu zangu sawasawa kwamba wanaonijua ni mashahidi kwamba mwaka 2005 sikumuunga mkono Mwandosya katika mchakato wa uteuzi wa cha urais ndani ya CCM.

Wakati huo nilikuwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi Jumapili na kuelekea kwenye mchakato huo niliandika makala za uchambuzi kuhusu mchakato huo na kumbukumbu zipo kwamba nilimponda waziwazi Mwandosya nikisema bayana kwamba alikuwa ni mwanasiasa mchanga (kwa mantiki ya uzoefu ndani ya CCM na si umri wake), pili niliponda mkakati wake wa urais wa kushirikisha wapambe takriban wote toka mkoa wa Mbeya. Nitaambatanisha makala za wakati huo kulithibitisha hili. Makala zote zipo katika blogu yangu binafsi.

Pili nimesikitishwa na uongo wa wazi unaoenezwa na baadhi ya wanajamvi kwamba eti nimenunua magari matatu. Habari hizi si za kweli hata kidogo. Mwaka huu nimenunua gari mtumba kwa fedha zangu kidogo na nyingine za kukopeshwa na mkurugenzi wangu.

Tatu, sikumzuia Zitto na sikushiriki katika kikao cha wazee kilichofikia hatua kumshawishi aondoe jina lake na yeye mwenyewe akakubali. Kwa hiyo anguko langu nililokuwa nikilizungumzia ni lile la iwapo angegombea uenyekiti ambao tayari ameutema. Hili llimetunyima fursa ya kupima mbele ya safari ingekuwaje?

Tatizo lako kibanda ni kwamba umeonyesha dhahiri kumshambulia zitto kwa sababu kaamua kupambana na mkurugenzi wako.
Kwenye makala zako uliandika kuwa mmekuwa mkishauriana sana na zitto katika mambo mengi lakini hilo la kuchukua fomu za kugombea uenyekiti wa chadema ili achuane na mkurugenzi wako hakuwahi kukushirikisha.
Yaani unataka tuaminu kwamba wewe ndo unamuamlia nini cha kufanya?
Halafu jinsi usivyo na aibu unawashambulia watu wengine wengi tu kwa sababu ya maslahi yako binafsi.Au ndio tuamini kwamba kama mbowe hatokuwa mwenyekiti wa chadema gazeti la tanzania daima haliwezi kujiendesha?inawezekana ruzuku ya chadema ndiyo inaliendesha gazeti kwahiyo usingetaka kuona kwa namna yoyote ile mirija ya ulaji inakatwa hivi hivi ukishuhudia.
badala ya kuzungumzia mambo ya msingi, sababu za msingi za kushauri kwanini zitto asigombee uenyekiti umeishia kupiga majungu tu.
Kwa jinsi ulivyomshambulia zitto sishangai maneno ya watu kwamba uko kwenye pay roll ya mafisadi. Sasa vijana wa chadema unawatukana bila aibu?hivi wewe kibanda unaweza kusema una credibility ya kumfikia zitto? au kumfikia Dr. Kitila?yaani sashivi umekuwa mhariri wa hovyo kabisa.
 
Kibanda,

Ushauri wangu wa mchana wa leo. Just keep mkimya. Huyu Masatu tunamjua vizuri, yupo # 1.
 
If this is the case then who should wee trust? Mbowe is accused of using Kibanda as well as free media for his personal interests, and so does Reginald Mengi; Rostam Aziz is also accused of using his media outlets for political gains and so does His Highness Aghakan etc.

Sasa tusome nini? Maana sasa inachanganya zaidi kwa mujibu wa yanayozidi kuandikwa kila siku kuhusu wahariri wetu japo sijui kama yana ukweli kiasi ghani.
 
Simply said a pandemic pot of despicable despotism, nauseating nepotism and incospicuous incompetency coupled with idiocratic incoherency.

ngoja nitafute dikishenari kwanza!!.
 
Pili nimesikitishwa na uongo wa wazi unaoenezwa na baadhi ya wanajamvi kwamba eti nimenunua magari matatu. Habari hizi si za kweli hata kidogo. Mwaka huu nimenunua gari mtumba kwa fedha zangu kidogo na nyingine za kukopeshwa na mkurugenzi wangu.

?


Mbona inasemekana kwenye hilo gari moja kuna mkono wa RA hata mkanunuliwa magari ya kufanana na Muhingo?
 
Kibanda,

Ushauri wangu wa mchana wa leo. Just keep mkimya. Huyu Masatu tunamjua vizuri, yupo # 1.

Tuko pamoja kaka. Suala la yuko wapi na ana msimamo gani kwangu halina maana, lakini hoja ya Kibanda kupuuza naona ina msingi. Jambo la maana ni kwa mods kuangalia hoja zenye muelekeo wa kushambulia watu badala ya hoja, zisipewe nafasi.
 
Naomba nichukue fursa hii kukupongeza Kibanda kwa makala iliyomfanya Zitto kujifikiria mara mbili na kuachia ngazi.Mwanzo ni miongoni mwa waliokulaumu na kufikia kukuona unajikomba kwa boss, lakini kwa vile angalizo lako limeepusha shari, then unastahili pongezi kwa kuwa na kalamu very powerfull.Pongezi zangu zinahusu tuu power ya pen being mightier than a sword na umejijengea heshima zaizi kuwa kalamu yako inakata kama upanga wa makali kuwili.Kwa upande mwingine, lets get back to facts, facts are sturbon things, kwa vile angalizo lako kuhusu kuanguka kwa Zitto lilikuwa based kwenye uoga, na limetimia kwa Zitto kujitoa. Ni kama ukweli wa kuona anguko lake maana sasa Zitto ni puu...chini!, naomba kesho uiendeleze makala kwa kuandika yatokanayo. Mimi binafsi naamini Zitto ni genuine na aliamini anaweza kuisaidia Chadema kulivua koti la Uchagga na kuivisha mavazi nadhifu ya usasa, kumbe ndio kwanza wezee wameiongezea blaketi la bibi kudumisha mila!.Kama kweli Zitto ni mtu wa msimamo, naomba niwe wa kwanza kuwadhibitishia, yuko njia moja, ila anasubiri tuu wakati muafaka.Udumu Kibanda, Kidumu Chadema, Ikulu ilee...!
 
Back
Top Bottom