- Thread starter
- #21
Hii njemba inayojiita masatu imeumia roho sana kwa kuona Chadema inataka kuvuka uchaguzi kwa salama. Umezoea kula vya kunyonga sio? Ngonya siku yaja huko CCM ulikozoea kupata vya bure mrija utakatwa.....
Kuvuka uchaguzi salama kwa kutumia shinikizo za baba mkwe? kama hiyo ndio salama then neno salama limepoteza maana!