Tukusaidiaje?
weeh wikiendi yote hii haujapigwa ban? Ama umetoroka? Ngoja nimuulize mupenzi.
Jamani Free Thinker usilie banaa na mie nitaanza kulia
Huu ni wimbo au ??? nyimbo za namna hii nilozoea kuzisikia kwa Ramazan Remmy Ongala...
Yaleyale ambayo hayataki Invisible
Yan hakuna nikichukiacho km mtu kuja na ID nyingine...wanaboa sana coz kwanza wanaharibu majukwaa!
Hee!
Kumbe hapa mnachapana? Samahanini ! Natoka niwapishe, agenda itimie!
Wa kuchapwa mbona simuoni!
Wajapani mna hurumaa..!!!
Huko nilishaaga kuja kwangu ni kwa nadra sana...
Nyumbani ni nyumbani bhana!!
Haya,unapatikana maeneo gani hapo Dsm,ili nikipita nikutafute?