Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

ni kitu cha kawaida hicho kuna mawili hapo

,.....analia kwa furah ya kupta new guy na kukupa gegedo lililokukuna vizur unalilia utamu

,......unakuwa na mawazo ndni ya kichwa huyu nae kaona tena umbo lngu naked litaonwa na wangapi hadi ndoa....also unaogopa ishu za kuachwa tena na penzi ushatoa uuuuuupsi

Mie naona hilo la pili ndio litakuwa linalomliza maana unakuwa unawaza je huduma imefurahiwa au ndio kuonjwa na kuachwa hapo
 
Habari zenu wapendwa.

Mwenzenu nna tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.

Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.

Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?

Ushauri jamani.

Kama ni kwenye ndoa halali wala usilie maana sio dhambi, ila kama unazini endelea kulia na kusaga meno.
 
Una ugojwa unaoitwa lawalawa. Muone Dr bigwa wa kina mama
 
ha ha ha inategemea na ntu na ntu mkuu wengine mpaka zile zenye 40%alc mkuu ndiyo utatubeba tena kama maji amna kama yapo forget

hahaha itabidi nifiche maji siku hiyo... ka mambo yenyewe ndo haya!!!! hzo 40 alc hyo match yake sipati picha
 
Unalia kwamba ...unasikia Utamu?

Unalia kwamba..unaumia?

Unalia kwamba hujamzoea aliyekuliza?

Unalia kwamba...Umekunwa vizuri? Au

Unalia kwamba...?
sina jibu sahihi ya nini kinachoniliza.... ndo mana nikasema sijui kwanini nalia, yani inatokea tu automatically machozi yananitoka, na wala huwa siumii, maybe utamu.... na kama ni utamu kwa nini nikishamzoea yani nikifanya nae mara 4/5 hivi naacha kulia? na utamu unakua ule ule au unazidi...
 
mbona huu uzi page zinaenda haraka hivi...kuna nini hapa???
 
Unalia yaani machozi kabisa au?
Ni unakua unajutia ulichofanya?

Tafuta mume
kumbe watu wanaliaga maji? nalia kabisa mpaka kwikwi! hebu nielekeze wanakowatafutia hao waume?!
 
Back
Top Bottom