Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
ni kitu cha kawaida hicho kuna mawili hapo
,.....analia kwa furah ya kupta new guy na kukupa gegedo lililokukuna vizur unalilia utamu
,......unakuwa na mawazo ndni ya kichwa huyu nae kaona tena umbo lngu naked litaonwa na wangapi hadi ndoa....also unaogopa ishu za kuachwa tena na penzi ushatoa uuuuuupsi
Mie naona hilo la pili ndio litakuwa linalomliza maana unakuwa unawaza je huduma imefurahiwa au ndio kuonjwa na kuachwa hapo