Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Habari ya jumapili ndugu zangu. Ni matumaini yangu kuwa kila mwanaJF kwa imani yake anaheshimu misingi ya maadili ya kiimani.
Leo mmenikwaza, nawaambia mmenikwaza mchungaji wenu. Kwani sio wewe? Basi mwambie rafiki/jirani yako amenikwaza na nimekwazika!
1. Umevaa mavazi yasiyo na "adabu" na kujipeleka kwenye nyumba ya Ibada(kanisani). Kwani umeambia hapo kuna maonesho ya mitindo ya mavazi?
2. Umechelewa ibada inayoanza saa tatu, kanisa lipo mtaa wa pili kutoka kwenu. Mbona kazini unaamka saa 10 alfajiri na unawahi? Tena bila adabu unajikwatua na viatu vyako "vinapiga makelele", unaenda kukaa viti vya mbele.
3. Unakaa back bench kanisani unaanza kuchat. Kwa nini usingebaki kwenu ili utanue kwa raha zako..
4. Unakaa jirani na shoga/rafiki yako mnaanza kunong'onezana! Mnaongea nini? Nakwambia umenikwaza wewe na huyo shoga/rafiki yako.
5.....
6.....
7.....
Tafadhali chukua hatua, badilika..
.....
Ndimi mchungaji wenu. Rev Fr KABOKA mchizi.
Leo mmenikwaza, nawaambia mmenikwaza mchungaji wenu. Kwani sio wewe? Basi mwambie rafiki/jirani yako amenikwaza na nimekwazika!
1. Umevaa mavazi yasiyo na "adabu" na kujipeleka kwenye nyumba ya Ibada(kanisani). Kwani umeambia hapo kuna maonesho ya mitindo ya mavazi?
2. Umechelewa ibada inayoanza saa tatu, kanisa lipo mtaa wa pili kutoka kwenu. Mbona kazini unaamka saa 10 alfajiri na unawahi? Tena bila adabu unajikwatua na viatu vyako "vinapiga makelele", unaenda kukaa viti vya mbele.
3. Unakaa back bench kanisani unaanza kuchat. Kwa nini usingebaki kwenu ili utanue kwa raha zako..
4. Unakaa jirani na shoga/rafiki yako mnaanza kunong'onezana! Mnaongea nini? Nakwambia umenikwaza wewe na huyo shoga/rafiki yako.
5.....
6.....
7.....
Tafadhali chukua hatua, badilika..
.....
Ndimi mchungaji wenu. Rev Fr KABOKA mchizi.