sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
- Thread starter
- #21
kumbe muda si mrefu mtadumbukia shimoni
Ndio,shimo la mapenzi!
kumbe muda si mrefu mtadumbukia shimoni
Sungura acha uwongo wake utampenda hadi mlima kilimanjaro ufanye je?
Jamani raha kupendana
Sana my dear, ukimpata yule anayekupenda kwa dhati, unakuwa kama umeimiliki dunia.
Mi napita
Huko unakoelekea hakuna njia lakini ujue.
Nh wacha niwahi masjid
.
Lol kwahiyo ntapotea ?
.
Ndio,shimo la mapenzi!
nimeonaa, mshadumbukia nije kukuibua wewe peke yako?Haahhaaaaa umeonaeee
nimeonaa, mshadumbukia nije kukuibua wewe peke yako?
Hujitaki ama hujipendi Mokoyo?
Mi nakuonea huruma ujue.... Ombea tu Sungura1980 asione hapo. Ngoja nikunong'oneze ( Anatembea na tindikali)
hahahahahaha mimi natembea na paja la kuku, nani zaidi?
hahahahaha unajitahidi kunitisha ila na mimi sitishiki, wewe siku ukitaka kunyanyuliwa tu nishtue mimi nitakuwepo kwaajili yakoNdio asikusikie oooh. Unakumbuka mwenye HSC alikuwa nayo ila si unajua kilichotokea? Kwahiyo kuwa makini tu humu.
hahahahaha unajitahidi kunitisha ila na mimi sitishiki, wewe siku ukitaka kunyanyuliwa tu nishtue mimi nitakuwepo kwaajili yako