Nakupenda sana laazizi Bantu Lady

Nakupenda sana laazizi Bantu Lady

aisee.. kumbe wewe ndiwe sungura1980? actually hongera kwa kuwa na Bantu lady..

mimi naitwa KING Excel...!

i hope ulishawahi kukutana na mimi mahala either theoretically ama practically ama kunisikia sikia mahala!

ndo mimi sasa... mtunze sana Bantu lady!
 
Last edited by a moderator:
Excel umenikumbusha mbali na hii kitu eeeeh. Huyu mume hashtuki nataka mtafutia jenereta maana nahisi ni Tanesco yeye!!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani pawe kama Jangwani au uwanja wa taifa au bonde la Msimbazi

Mkuu mambo vipi? Naomba kazi nyumbani kwako, kazi zote za ndani! Sihitaji mshahara mkubwa, utanikadilia na utendaji wangu wa kazi.
 
Mkuu mambo vipi? Naomba kazi nyumbani kwako, kazi zote za ndani! Sihitaji mshahara mkubwa, utanikadilia na utendaji wangu wa kazi.

Mkuu Rich Pol hilo halina shaka hata kidogo,tuna nyumba mbili moja ipo Dar Mbezi na ndiyo tunaishi na malkia Bantu lady na nyingine ipo Mwanza tunafanya ufugaji wa kuku,nadhani utatusaidia sana huko Mwanza!Hahahaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rich Pol hilo halina shaka hata kidogo,tuna nyumba mbili moja ipo Dar Mbezi na ndiyo tunaishi na malkia Bantu lady na nyingine ipo Mwanza tunafanya ufugaji wa kuku,nadhani utatusaidia sana huko Mwanza!Hahahaaaaaa!

Mkuu hao kuku siwezi kukaa nao Mwanza, nitawala tu, naomba nikae town nimtumikie malkia hasa ukiwa haupo, nitafanya kazi zote mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Rich Pol una mpango wa kuivunja vipande ndoa yangu ama?
Kama ni kazi uende Mwanza kama mume wangu alivyokwambia, ukafuge kuku kule na ng'ombe hiyo itakufaa. Hapa Dar tunao watumishi wa kutosha.
 
Rich Pol una mpango wa kuivunja vipande ndoa yangu ama?
Kama ni kazi uende Mwanza kama mume wangu alivyokwambia, ukafuge kuku kule na ng'ombe hiyo itakufaa. Hapa Dar tunao watumishi wa kutosha.
aiseeeee Bantu lady. ni nkulinda..........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hao kuku siwezi kukaa nao Mwanza, nitawala tu, naomba nikae town nimtumikie malkia hasa ukiwa haupo, nitafanya kazi zote mkuu.

Mkuu hapa watumishi wako wengi sana,unataka kazi,Mwanza!Malkia namtumikia mimi mwenyewe!!
 
Rich Pol una mpango wa kuivunja vipande ndoa yangu ama?
Kama ni kazi uende Mwanza kama mume wangu alivyokwambia, ukafuge kuku kule na ng'ombe hiyo itakufaa. Hapa Dar tunao watumishi wa kutosha.

Siwezi kuvunja ndoa yako hata siku moja na wewe unajua, ila natafuta kazi tu! Naomba uniombee kwa Mzee nitakuwa mtiifu kwako, hata siku umeme ukizimika generator likija nitakaa kimya tu.
 
Mkuu hapa watumishi wako wengi sana,unataka kazi,Mwanza!Malkia namtumikia mimi mwenyewe!!

Nashukuru sana mkuu, basi kabla hujanihamishia Mwanza naomba hapa Dar nifanye training kama mwezi mmoja tu uone juhudi zangu za kazi kisha nihamie Mwanza.
 
Siwezi kuvunja ndoa yako hata siku moja na wewe unajua, ila natafuta kazi tu! Naomba uniombee kwa Mzee nitakuwa mtiifu kwako, hata siku umeme ukizimika generator likija nitakaa kimya tu.

Nimeshaacha mambo ya kufikiria jenereta hata umeme ukikatika. Sasa hapo unataka kazi na kuwa karibu namimi uongo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom