Etieeeh kwahiyo nikiachika wewe utakuwa kwaajili yangu? ila hapa asisome mume wangu please inaweza ndio ikawa tiketi bure.
hata sasa hivi, nime-highlight ili asome vizuri ili aharakishe maamuzi yake, nijifaidie
Etieeeh kwahiyo nikiachika wewe utakuwa kwaajili yangu? ila hapa asisome mume wangu please inaweza ndio ikawa tiketi bure.
hata sasa hivi, nime-highlight ili asome vizuri ili aharakishe maamuzi yake, nijifaidie
hata sasa hivi, nime-highlight ili asome vizuri ili aharakishe maamuzi yake, nijifaidie
Hujitaki ama hujipendi Mokoyo?
Mi nakuonea huruma ujue.... Ombea tu Sungura1980 asione hapo. Ngoja nikunong'oneze ( Anatembea na tindikali)
Bora umwambie laazizi wangu!
hawezi kukutindikali huyo laaziz wako namjua akipenda amependa anakuwa kama kile kitabu cha "Zuzu na Akili"Kumbe hunipendi, sasa akiona huenda hiyo tindikali akanianzia nayo mimi. Nikishaharibika si utanikimbia wewe.
Ila mume wangu ananipenda sana, sitaki kudanganyika na mwingine.
Anajitoa sana kwangu. Asante mume wangu kwa kunipenda.
Ndugu yangu mimi wala sijakufanyia hiyana, kuwa na amani
Haaaa,nimesoma,utasubiri sana,wenyewe tunapendana sana
haya sasa wapendanao, maalaazizBora umwambie laazizi wangu!
Nakupenda sana honey. Asante kwa leo unajua ni nini.......
Asante sana kaka Mokoyo,you made my day!
Bora umetulia maana hata hukulala jana, usipate presha mimi ni wako peke yako.
Kumbe ulinigundua usiku eheee?Nilikuwa nashtuka shtuka ehee?
Hahahahahaaaa Mokoyo uwiii umenifanya nicheke asubuhi hii. Kweli unamjua ndugu yako eti akipenda anakuwa km kwenye kitabu cha zuzu na akili.
Baada ya nduguyo kuja umekuwa mdogo kama nukta.
Nilikuona baby wangu. Mokoyo huyo ndio kakusababishia uwe na mawazo. Ajue tu sing'oki kwako your my everything, sitaki kabisa kosa raha zako, wewe ni wa tofauti na nakupenda sana.
Asante sana kaka Mokoyo,you made my day!
Kumbe ulinigundua usiku eheee?Nilikuwa nashtuka shtuka ehee?
hajaaamka na headache kweli huyo mdogo wangu?Nilikuona baby wangu. Mokoyo huyo ndio kakusababishia uwe na mawazo. Ajue tu sing'oki kwako your my everything, sitaki kabisa kosa raha zako, wewe ni wa tofauti na nakupenda sana.
hajaaamka na headache kweli huyo mdogo wangu?
Yaani nahisi aliamka nayo. Maana usiku hakulala vizuri, alikuwa na mawazo coz hayo angesema mtu wa mbali ila damu yake duh. Ilimchanganya sana.
Now ana furaha yuko busy na majukumu yake ya kila siku. Nampenda sana ujue tu.
Mwambie a-relax bana, mimi kaka yake namjali sana wala sitokomba mboga yote
Asante sana malkia wangu,nitakupenda mpaka mlima Kilimanjaro uwe tambarare,mpaka maji bahari ya Hindi yakauke,watu waende Zanzibar kwa basi!