EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Nakumbuka nyimbo za rap za kiswahili kama OPP, ICE Baby na nyingine nyingi za Saleh Jabir yuko wapi huyu siku hizi?
Nakumbuka enzi za Shaba Ranks na staili yake ya panki la hatari..........
Dah nakumbuka tu kumbe nami nimeona mambo eeh!
Nakumbuka sinema ya kwanza ya kiswahili kuwatch ilikuwa Kifo Mkononi huku wakati huo kila mtu akiwa anawatch maigizo ya kiswahili kukiwa na kina Bishanga, Richie, Monalisa na yale ya wakenya kina Tausi, Kalumanzila dah........Nakumbuka
Nakumbuka enzi za Shaba Ranks na staili yake ya panki la hatari..........
Dah nakumbuka tu kumbe nami nimeona mambo eeh!
Nakumbuka sinema ya kwanza ya kiswahili kuwatch ilikuwa Kifo Mkononi huku wakati huo kila mtu akiwa anawatch maigizo ya kiswahili kukiwa na kina Bishanga, Richie, Monalisa na yale ya wakenya kina Tausi, Kalumanzila dah........Nakumbuka