Heri ya huyo aliyejenga airport porini maana sio miaka yote pataendelea kuwa porini(japo kihalisia sio porini kama unavyopaita), ipo siku population itakuwa na hiyo airport itahitajika kwa shughuli za kiuchumi na jamii.
Haya njoo kwa nyie wavaa kobazi tukianza na mzee wa ruksa ambaye aliruhusu mpaka ujambazi ilimradi tu usikamatwe, kisha njoo kwa mzee wa msoga ambaye aliamua kuwapa wachina uwekezaji wa gesi wa kudumu kule Mtwara hili tu mtoto wake aliyekamatwa na madawa ya kulevya kule China asinyongwe....
...kisha funga kazi njoo kwa Bi maushungi ambaye ndio hana haya kabisa kwa mambo anayoyafanya tukiachana na tu na kuuuza na kuzidalalia rasilimali za Tanganyika, ila tukio la kuwanyang'anya wamasai aridhi yao ya asili na kisha kuwapa wajomba zake wa uarabuni ni ushetani wa hali ya juu, na limemuonesha kuwa ni adui mkubwa wa tanganyika na ana wachukia sana watanganyika.
Kwa ufupi tu nyie waislamu kuongoza nchi hamuwezi zaidi ya kufanya anasa,kuuza rasilimali na kulea mafisadi na wizi serikalini na hamnaga uzalendo hata chembe, na hata wakristo wanaozikubali tawala zenu ni kwa sababu mnawaruhusu kuiba bila kuwadhibiti.
Kenya kamwe hawawezi kuongozwa na raisi muislamu hata dunia izaliwe upya, maana wanajielewa na hawako tayari kuona taifa lao linaingia shimoni kwa rasilimali zao kuuzwa.