Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

HIVI marehemu Mr chato SI aliwaka vibaya KISA kuliwekezesha HILO eneo JAMAA wamerudi TENA DAH maskini wenzangu nmejikuta nawawzia TU HADI wauza mihogo watapigwa wanted HAPO nikukimbilia kimbiji nawajua wabongo kwa VYA Bure huvifata popote
 
HIVI marehemu Mr chato SI aliwaka vibaya KISA kuliwekezesha HILO eneo JAMAA wamerudi TENA DAH maskini wenzangu nmejikuta nawawzia TU HADI wauza mihogo watapigwa wanted HAPO nikukimbilia kimbiji nawajua wabongo kwa VYA Bure huvifata popote
Inasikitisha sana
 
Kama kariakoo hakuna hata bustani uchwara ya kupumzika. Maeneo yote wameuza
Kwa jinsi baadhi ya viongozi walivyo na Tamaa wanauza kila kitu wanachokiona

Hawa hata Ikulu wanaweza kuiuza
Viongozi wote wawe wa Dini au serikali basi wote ni wa moja na hawajali

Mzungu alipanga miji na akaacha sehemu nyingi za wazi wakijua yatatumika kwa watoto na hata wakubwa
Lakini waroho wameuza kila kitu

Kuanzia bustani, sehemu za michezo shuleni na public places, hata maeneo mengi ya ibada wameuza walioyakuta tena kwa thamani ndogo sana

Leo wengi wamekufa na laana juu
 
Kule Kimbiji kuna fukwe safi tena zenye mchanga mweupe, kwa nini asiendeleze huko? Au Kigamboni haiko Dar es salaam ? 😳 Ni Coco beach tu? Vipi Msasani peninsula kwa mfano ? Think 🧐
Huko kuna beach kimba

Ova
 
Tanzania inaharibiwana washamba wakuja,
Waliokuja mjini kwa mbio za mwenge
Ni ukweli mtupu
Wote wanataka kuja hapa kuzuruzura na kuuza uza....
Hii ndio sababu Dar imekuwa chafu sana, sio kama miaka ya 80, 90, ilikuwa Jumapili mnatoka kwenda kutembea mitaa ya Samora na Posta ya zamani mpaka ikulu ilikuwa kumetulia, sasa mpaka njia zingine wamefunga kwa kuwa na utitiri wa mijitu inazagaazagaa ovyo mjini....
 
Coco beach imeshauzwa na Samia Kwa mjomba wake wa Dubai anayemiliki DP WORLD.Chalamila alijiongelesha tu ili kuwaandaa wananchi kisaikolojia
 
Hayo maeneo ya bure wasiuze, wayaboreshe tu wananchi wapunguze mawazo huko.

Open space pia ziwe nyingi, mji una stress huu jaman
 
Kwa jinsi baadhi ya viongozi walivyo na Tamaa wanauza kila kitu wanachokiona

Hawa hata Ikulu wanaweza kuiuza
Viongozi wote wawe wa Dini au serikali basi wote ni wa moja na hawajali

Mzungu alipanga miji na akaacha sehemu nyingi za wazi wakijua yatatumika kwa watoto na hata wakubwa
Lakini waroho wameuza kila kitu

Kuanzia bustani, sehemu za michezo shuleni na public places, hata maeneo mengi ya ibada wameuza walioyakuta tena kwa thamani ndogo sana

Leo wengi wamekufa na laana juu
Njaa imetamalaki na ubinafsi
 
kwa sababu wale ni watu wanaotambua haki zao na wanafanya vile kuishinikiza serikali yao itimize wajibu wao
Kama vile wafanyavyo wakenya kwenye maandamano na wizi wa mali za wenzao ndio kutambua haki zao, basi wacha tu nibaki zangu rwanda tu,

Kuna aliejenga airport porini naye alikuwa muislamu?
Mbona upande ule ndio wafujaji wakubwa na mafisadi?

Wakenya wakipata rais muislam shida zote zitaisha
 
Back
Top Bottom