Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

Siku wakenya wakipata rais muislam wataanza kuona raha ya maisha na amani tele, kwasasa acha waendelee kutaabika tu
Raha gani hizo watakayoletewa na huyo raisi muislamu?? Kama hizi tunazoshuudia hapa kutoka kwa huyu bi chura wa kizanzibari??

Hizo vurugu unazozionaga huko kwao ni kwa sababu wale ni watu wanaotambua haki zao na wanafanya vile kuishinikiza serikali yao itimize wajibu wao.

Niamini mimi muislamu akiitawala Kenya hata awamu moja hawezi kumaliza, kwa sababu....

....Hakuna kitu wavaa kobazi wanaweza linapokuja suala la uongozi zaidi ya kula bata tu wao na syndicates zao huku wakiacha majority wakitaabika.
 
Raha gani hizo watakayoletewa na huyo raisi muislamu?? Kama hizi tunazoshuudia hapa kutoka kwa huyu bi chura wa kizanzibari??

Hizo vurugu unazozionaga huko kwao ni kwa sababu wale ni watu wanaotambua haki zao na wanafanya vile kuishinikiza serikali yao itimize wajibu wao.

Niamini mimi muislamu akiitawala Kenya hata awamu moja hawezi kumaliza, kwa sababu....

....Hakuna kitu wavaa kobazi wanaweza linapokuja suala la uongozi zaidi ya kula bata tu wao na syndicates zao huku wakiacha majority wakitaabika.
Hatari sana
 
Binafsi nilishasema kabisa hawa watu huwa hawastahili kabisa kuongoza nchi, maana hawana charisma wala akili ya kuongoza halaiki ya watu, wanachojua wao ni kufanya anasa tu na kuuza uza rasilimali, wala hawanaga uchungu na taifa hili.

Hawa wavaa kobazi hawatakiwi kabisa kukabidhiwa nchi waiongoze, hawa acha waongoze miskiti tu.

Kila wakipewa nchi taifa huwa linaingia shimoni, na kumpa kazi nzito anayefuata.

Ndio maana nchi kama Kenya huwezi kukuta muislamu anapewa nchi aongoze.
Uko sahihi
 
Huu ni upuuzi aisee, namkumbuka JPM alipinga huo upuuzi kufanyika

Macalio yao
Jpm alipinga kwa sababu ya manji, na siyo vyote alivyovikataa vilikuwa sahihi cha msingi wawe wawazi na wa kweli kwenye process , rushwa ndio tatizo kwa viongozi wa africa kiasi kwamba wananchi tunakuwa tuna wasi wasi hata kama wazo ni jema
 
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Mh Albert Chalamila akiwa kwenye kikao cha ndani cha mkoa amesikika akilaani eneo la Cocobeach kuachwa wazi kwa ajili ya wananchi wote kutembelea bure kila wanapohitaji kufanya hivyo.

Chalamila amesema eneo la Cocobeach linahitaji uwekezaji mzito na wa kisasa.

Chalamila namkemea kutokana na wazo lake hilo kwa sababu hajatuambia kama hilo eneo likiwa la kulipia hao wananchi masikini wasio na hela ya kuingia Beach atawapeleka wapi.

Mh Chalamila ajue pia Tanzania ina eneo kubwa la bahari kwa ajili ya kujenga beach za kisasa anazozitaka hivyo siyo lazima ang'ang'anie kwenye eneo la wazi la Cocobeach.
Kule Kimbiji kuna fukwe safi tena zenye mchanga mweupe, kwa nini asiendeleze huko? Au Kigamboni haiko Dar es salaam ? 😳 Ni Coco beach tu? Vipi Msasani peninsula kwa mfano ? Think 🧐
 
Serikali itapata wapi mapato? Utazoea tu
Serikali inapata mamlaka kutoka kwa wananchi, hiki kiburi cha Serikali cha kujiamulia lolote linalo muathiri mwananchi ambaye ndiye mmiliki wa mali zote za nchi kinatokana na nini? 🤔
 
Jpm alipinga kwa sababu ya manji, na siyo vyote alivyovikataa vilikuwa sahihi cha msingi wawe wawazi na wa kweli kwenye process , rushwa ndio tatizo kwa viongozi wa africa kiasi kwamba wananchi tunakuwa tuna wasi wasi hata kama wazo ni jema
Kwan baada ya kumuweka maji ndani, hilo eneo liliuzwa?
 
Back
Top Bottom