Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

Kwani hospital za Muhimbi na Amana ni mali ya nani?

Mbona zamani ilikuwa matibabu bure na leo tunachangia?

Hakuna cha bure mkuu?
Siku hizi mnalipia kuingia katika eneo la hospitali? Hauwezi kwenda kumuona mgonjwa bila kulipia kiingilio? Mimi sijasema kuwa kwa sababu kwenda ufukweni ni haki yako basi hata mihogo ya kuchoma utapewa bure.

Amandla...
 
Coco beach inatia kinyaa...
Ni kweli. Mwenye wajibu wa kuitunza na kuhakikisha usalama ni manispaa. Mbona beach maarufu kama Copacabana wanaweza?
Imejaa wale bichiboi na matairi ya kuogelea na wauza ombaomba maana sio kwa kulazimishwa hivyo kununua mpaka muuzaji anakutolea shida zake ili ununue..
Na nani ana wajibu wa ku control hao beach boys? Nani anatoa vibali kwa hao wauzaji omba omba? Ukiangalia beach zote maarufu haziruhusu biashara holela holela. Kitu ninachokubaliana na Chalamila ni umuhimu wa uwazi. Kuruhusu migahawa, vibanda, majengo ya ibada n.k. yanayozuia beach kuonekana kutoka barabarani ni makosa makubwa. Kunatakiwa kuwa na lifeguards ambao watahakikisha usalama wa wanaogelea sio kuwaachia beach boys kufanya kazi hiyo.
Ni uchafu mtupu pale, wacha wapaboreshe
Na wauza mihogo ni kipindupindu tupu...
Inategemea aina ya uboreshaji. Kuhusu kipindupindu angalau unaona namna hiyo mihogo inavyotengenezwa kuliko kuletewa tu mezani bila kujua jikoni kukoje. Ila mambo ya kukaanga mihogo, samaki beach ni hatari kwa usalama wa watu na mazingira (moto, moshi, majivu n.k.) na inabidi yawe controlled.
Kuna bichi nyingi sana Dar es salaam, waende huko kuelekea Bagamoyo au huko kigamboni maporini, inakuwaje mtu anatoka Kigamboni au Kawe ili aje kokobichi kutembea kama sio vibaka......
Beach nyingi Dar hazifikiki kirahisi kwa sababu Manispaa zimegawa viwanja vinavyopakana na beach hivyo vinavyozuia mtu kufika beach kirahisi. Coco beach imepakana na barabara hivyo ni rahisi kufikiwa na kila mtu.

Manispaa izuie uendeshaji wa magari na pikipiki beach. Manispaa iongeze patrol za polisi katika eneo hilo. Na zifungue beach nyingine ziwe wazi kama Coco beach.

Amandla...
 
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Mh Albert Chalamila akiwa kwenye kikao cha ndani cha mkoa amesikika akilaani eneo la Cocobeach kuachwa wazi kwa ajili ya wananchi wote kutembelea bure kila wanapohitaji kufanya hivyo.

Chalamila amesema eneo la Cocobeach linahitaji uwekezaji mzito na wa kisasa.

Chalamila namkemea kutokana na wazo lake hilo kwa sababu hajatuambia kama hilo eneo likiwa la kulipia hao wananchi masikini wasio na hela ya kuingia Beach atawapeleka wapi.

Mh Chalamila ajue pia Tanzania ina eneo kubwa la bahari kwa ajili ya kujenga beach za kisasa anazozitaka hivyo siyo lazima ang'ang'anie kwenye eneo la wazi la Cocobeach.
Labda kuna mlungula mnono amehaidiwa,kisa gani unganganizi ule🌀🌀🌀eneo libaki hivyo hivyo kwa wanyonge wa dar es salaam.
 
hivi haiwezeka kukawepo miundombinu ya kisasa kisha tupate mapato katika parking ambazo zitakua pale na huduma zingine ambazo zitaingiza hela.pia kwa mwekezaj atayekuapo wether is manispaa au mdau akaweka vitu vya kulipia mle ndan kama scuba diving.boat ride water fall na kusiwe na kiingilio ila huduma za mle ukitaka unalipa
 
Na awamu hii hapo coco panaondoka...
Kuingia mtaingia na fedha
Mkitaka beach ya bwelelee nendeni beach kimbaaaa

Ova
 
Ni kweli. Mwenye wajibu wa kuitunza na kuhakikisha usalama ni manispaa. Mbona beach maarufu kama Copacabana wanaweza?

Na nani ana wajibu wa ku control hao beach boys? Nani anatoa vibali kwa hao wauzaji omba omba? Ukiangalia beach zote maarufu haziruhusu biashara holela holela. Kitu ninachokubaliana na Chalamila ni umuhimu wa uwazi. Kuruhusu migahawa, vibanda, majengo ya ibada n.k. yanayozuia beach kuonekana kutoka barabarani ni makosa makubwa. Kunatakiwa kuwa na lifeguards ambao watahakikisha usalama wa wanaogelea sio kuwaachia beach boys kufanya kazi hiyo.

Inategemea aina ya uboreshaji. Kuhusu kipindupindu angalau unaona namna hiyo mihogo inavyotengenezwa kuliko kuletewa tu mezani bila kujua jikoni kukoje. Ila mambo ya kukaanga mihogo, samaki beach ni hatari kwa usalama wa watu na mazingira (moto, moshi, majivu n.k.) na inabidi yawe controlled.

Beach nyingi Dar hazifikiki kirahisi kwa sababu Manispaa zimegawa viwanja vinavyopakana na beach hivyo vinavyozuia mtu kufika beach kirahisi. Coco beach imepakana na barabara hivyo ni rahisi kufikiwa na kila mtu.

Manispaa izuie uendeshaji wa magari na pikipiki beach. Manispaa iongeze patrol za polisi katika eneo hilo. Na zifungue beach nyingine ziwe wazi kama Coco beach.

Amandla...
Coco miaka ya 80,90 kulikuwa miundo mbinu yote mabafu,vyoo nk
Coco ya sahv ni vurugu hakuna usimamizi wowote

Ova
 
Kila RC akija Dar huwa anajaribu kuiuza coco beach huyu naye mlungula ushanukia anapima upepo wa mama, kumbuka ya mwisho ilikua jiwe alipomtupilia mbali manji alipopewa
Na kuna yule meya swahiba wangu naona anahangaika sana

Ova
 
Ni muhimu kuwa na sehemu ya beach ambayo inatunzwa, kuangaliwa na kuhudumiwa vyema. Kuna thread humu jf inayoonyesha jinsi Serikali ilivyoshindwa kutunza kituo cha mabasi -Msamvu, Morogoro, Ili wakazi wa dar tuweze ku enjoy mandhari nzuri ya coco lazima uwekezaji ufanyike ktk hali ambayo Mtanzani wa hali ya chini ataimudu / PPP Inahitajika sanaCoco
Watembee kwenye nchi zenye beach wakajifunze

Ova
 
Hu
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Mh Albert Chalamila akiwa kwenye kikao cha ndani cha mkoa amesikika akilaani eneo la Cocobeach kuachwa wazi kwa ajili ya wananchi wote kutembelea bure kila wanapohitaji kufanya hivyo.

Chalamila amesema eneo la Cocobeach linahitaji uwekezaji mzito na wa kisasa.

Chalamila namkemea kutokana na wazo lake hilo kwa sababu hajatuambia kama hilo eneo likiwa la kulipia hao wananchi masikini wasio na hela ya kuingia Beach atawapeleka wapi.

Mh Chalamila ajue pia Tanzania ina eneo kubwa la bahari kwa ajili ya kujenga beach za kisasa anazozitaka hivyo siyo lazima ang'ang'anie kwenye eneo la wazi la Cocobeach.
yu nae kaanza kuwa sehemu ya matajiri.

Hao wawekezaji SI wajege ndani ya bahati??
 
Mkuu hakuna cha bure siku hizi,Mkoa mapato utapata wapi?

Watanzania watu maskini sana hawajaweza kulipia huduma wala hawawezi uchumi wa kibepari! We mwenyewe mitaa gani unaishi? Ya kibanadamu au kama wanyamapori tu? Maskini nao bado wanataka kwenda beach pia
 
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Mh Albert Chalamila akiwa kwenye kikao cha ndani cha mkoa amesikika akilaani eneo la Cocobeach kuachwa wazi kwa ajili ya wananchi wote kutembelea bure kila wanapohitaji kufanya hivyo.

Chalamila amesema eneo la Cocobeach linahitaji uwekezaji mzito na wa kisasa.

Chalamila namkemea kutokana na wazo lake hilo kwa sababu hajatuambia kama hilo eneo likiwa la kulipia hao wananchi masikini wasio na hela ya kuingia Beach atawapeleka wapi.

Mh Chalamila ajue pia Tanzania ina eneo kubwa la bahari kwa ajili ya kujenga beach za kisasa anazozitaka hivyo siyo lazima ang'ang'anie kwenye eneo la wazi la Cocobeach.
Hilo eneo miaka yote linatolewa macho!
Sitashangaa kipindi hiki!
 
muslims dont care about small people my friend, ndiyo maana wako hivyo, hiyo beach iko for public use tangia ukoloni, kila awamu wa uislamu ulijaribu kuipora coco beach ktk kwa wananchi na kugawia matajiri wachache, alianza raisi mwinyi akagawa kwa sea cliff kwa wahindi/warabu, wakaja akina manji vivyo hivyo bahati nzuri awamu iliyofwatia ilizuia sasa wamerudi tena muslim na inaondoka hivyo na hakuna mtetezi …
Binafsi nilishasema kabisa hawa watu huwa hawastahili kabisa kuongoza nchi, maana hawana charisma wala akili ya kuongoza halaiki ya watu, wanachojua wao ni kufanya anasa tu na kuuza uza rasilimali, wala hawanaga uchungu na taifa hili.

Hawa wavaa kobazi hawatakiwi kabisa kukabidhiwa nchi waiongoze, hawa acha waongoze miskiti tu.

Kila wakipewa nchi taifa huwa linaingia shimoni, na kumpa kazi nzito anayefuata.

Ndio maana nchi kama Kenya huwezi kukuta muislamu anapewa nchi aongoze.
 
muslim elites dont care about small people my friend, ndiyo maana wako hivyo, hiyo beach iko for public use tangia ukoloni, kila awamu ya uislamu ulijaribu kuipora coco beach ktk kwa wananchi na kugawia matajiri wachache, alianza raisi mwinyi akagawa kwa sea cliff ya wahindi/warabu, wakaja akina manji vivyo hivyo bahati nzuri awamu iliyofwatia ilizuia sasa wamerudi tena muslim na inaondoka hivyo na hakuna mtetezi …
Hapa ndio mnapokoseaga, sio kila mwarabu/ muhindi ni muislam,

Uislam sio jina

Kuna waliojenga airport porini na mbuga ya wanyama mjini, je hawa ndio mashujaa wenu?

Tusitukane kundi zima kwa matendo ya mmoja
 
Binafsi nilishasema kabisa hawa watu huwa hawastahili kabisa kuongoza nchi, maana hawana charisma wala akili ya kuongoza halaiki ya watu, wanachojua wao ni kufanya anasa tu na kuuza uza rasilimali, wala hawanaga uchungu na taifa hili.

Hawa wavaa kobazi hawatakiwi kabisa kukabidhiwa nchi waiongoze, hawa acha waongoze miskiti tu.

Kila wakipewa nchi taifa huwa linaingia shimoni, na kumpa kazi nzito anayefuata.

Ndio maana nchi kama Kenya huwezi kukuta muislamu anapewa nchi aongoze.
Siku wakenya wakipata rais muislam wataanza kuona raha ya maisha na amani tele, kwasasa acha waendelee kutaabika tu
 
Coco miaka ya 80,90 kulikuwa miundo mbinu yote mabafu,vyoo nk
Coco ya sahv ni vurugu hakuna usimamizi wowote

Ova
Jengo liilokuwa na sehemu ya kuogea, kubadilisha na kuhifadhi nguo na vyoo lilitelekezwa na Halmashauri. Baadae likabidhiwa kwa mjasiriamali na sasa hivi ni baa, hoteli, maduka na eneo la beach parties. Badala ya Manispaa kutimiza majukumu yake inakimbilia zaidi kwenye kukusanya panga na kodi bila kujali hali ya eneo. Na sasa hivi nahisi wanataka kupata mwekezaji atakae jenga vitega uchumi na kuwalipa kodi. Hilo eneo lilikuwa na minazi, mikoko n.k. Sasa hivi kweli limeharibika.

Amandla...
 
muslim elites dont care about small people my friend, ndiyo maana wako hivyo, hiyo beach iko for public use tangia ukoloni, kila awamu ya uislamu ulijaribu kuipora coco beach ktk kwa wananchi na kugawia matajiri wachache, alianza raisi mwinyi akagawa kwa sea cliff ya wahindi/warabu, wakaja akina manji vivyo hivyo bahati nzuri awamu iliyofwatia ilizuia sasa wamerudi tena muslim na inaondoka hivyo na hakuna mtetezi …
Ungeweza kujadili bila kuweka DINI. Raisi ni taasis dini yake inahusikaje jamani! Mijadala ya kidini huwa hainaga tija kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom