fatu2010
Senior Member
- Mar 4, 2014
- 173
- 142
Salaaam wana JF!
Pamoja na kuwa nimesoma soma kuhusu Dar es Salaam. Sasa nimepata bahati nakuja huko ijumaa hii, naomba ushauri nizingatie kitu gani, ntafikia kwa ndugu yangu atanipokea stand.
Natokea Kalambanzite huku Rukwa, sijawahi kufika Dar es Salam. Je nije na nini na nini nisibebe?
Asante sana, nataizya sana mkwae (kifipa/mambwe)
Pamoja na kuwa nimesoma soma kuhusu Dar es Salaam. Sasa nimepata bahati nakuja huko ijumaa hii, naomba ushauri nizingatie kitu gani, ntafikia kwa ndugu yangu atanipokea stand.
Natokea Kalambanzite huku Rukwa, sijawahi kufika Dar es Salam. Je nije na nini na nini nisibebe?
Asante sana, nataizya sana mkwae (kifipa/mambwe)