Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

fatu2010

Senior Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
173
Reaction score
142
Salaaam wana JF!

Pamoja na kuwa nimesoma soma kuhusu Dar es Salaam. Sasa nimepata bahati nakuja huko ijumaa hii, naomba ushauri nizingatie kitu gani, ntafikia kwa ndugu yangu atanipokea stand.

Natokea Kalambanzite huku Rukwa, sijawahi kufika Dar es Salam. Je nije na nini na nini nisibebe?

Asante sana, nataizya sana mkwae (kifipa/mambwe)




 
Salaaam wana jf!
Pamoja na kuwa nimesoma soma kuhusu Daleslam. Sasa nimepata bahati nakuja huko ijumaa hii, naomba ushauri nizingatie kitu gani, ntafikia kwa ndugu yangu atanipokea stand.

Natokea Kalambanzite huku Rukwa, sijawahi kufika Daleslam. Je nije na nini na nini nisibebe?

Asante sana, nataizya sana mkwae (kifipa/mambwe)

ahahah...! usisahau passport, ni muhimu sana.
 
Ukitaka wanawake hata wa buku jongea pale uwanja wa fisi ila usalama ni mdogo sana maana muda wowote watoto wa mbwa wanamwaga ugali na mboga.
 
Usisahau kondom maana wafipa mnapenda sana pombe, najua ndugu yako atakupeleka bar siku ya kwanza kukuuliza stori za Mpanda, huko utakuta mabinti wanaomeremeta lakini wana wadudu wanaonyavuanyavua kwenye damu. Na ukumbuke kuitumia hiyo kondom. Wabara wanapapatikiwa sana huku Dar, jihadhari hawa sio wanawake ni miwaya, kama hutapata ngoma lakini shilingi hutabaki nayo
 
Kuwa makini kuna zimwi hilo linatisha kidogo lina matairi mawili bana weee sijui zinatokea wapi ila utazikuta hizo hapo miguuni mwako hayo mazimwi yanaendeshwa na wanywa viroba unaweza ukafika dar badala ya kufika nyumbani ukafikia muhimbili kukatwa miguu
chonde chonde huku mjini hakuna cha bure hata ukiona hela chini usiokote imewekwa hiyo
 
Uje na mtama na Mbuzi wa kutaga. Alaf kama unaweza nijie na dawa yoyote huko yakienyeji mana shemj yko analalamika simkuni kama zamani.
 
Nilizaliwa dsm miak hiyoooo lkn Mji wa ajabu sana. Juzi nilinunua viatu/mawe sh 5000/= pesa halali.

Kanyaboya hatar ndgu


ukija dsm usinunue kitu bila risiti
 
Back
Top Bottom