shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,154
S ndio wanaibeba ccm. Kila kukicha gambas mnafunga safari China mpaka mabomu ya arusha waliyatoa huko china, tena mpaka jiwe kawasifia hadharani na kuwaponda wazungu waziwazi, halafu hiyo yote tisa, watuonyeshe hiyo mikataba isije ikawa wanasema hivi kumbe ni vile.
MKuu, afadhali hata iwe 50. Wachina huwa wanataka miaka 99!