Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,741
Sasa nyie mlitaka China awekeze mradi mkubwa kama huo halafu asirudishe hela yake?- Nyie vipi?
Yaani mnapenda vya bure bure tu?
Haya basi msimpe mchina, tafuteni hela zenu wenyewe mjenge, nakuhakikishia in 80 years hamtakuwa na hela ya kujenga hiyo bandari wala hela ya kujenga Economic Zone iliyokuwa imekusudiwa!.
Na Gharama za ujenzi za Dola bilion 10 za Leo za huo mradi miaka 30 ijayo zitakuwa dola bilioni 30!
China sera yake ni WIN-WIN, Siyo akupe mihela yote halafu asiwe na uhakika wa kurudisha hela yake.
Halafu hiyo bandari haiwezi kuua bandari ya Dar, Mkataba hauui bandari ya Dar
Tumezubaa kuchukua hili dili, kesho Mkenya anakwenda kuweka kitu cha maana hapo Lamu, na SGR tayari anayo japo kwa mbinde. Tumeshapigwa gepu la maana na Kenya kwa sababu ya kujivutavuta na umasikini Jeuri
Well said, be blessed - yaani uzubaifu wetu defies logic. Ni kweli kabisa Kenya lilkuwa na wasi wasi kuhusu ujenzi wa Babdari ya B'Moyo hivi sasa watakuwa wamefurahishwa na kusua sua kwetu hilo litawapa mwanya wa kujenga Bandari yao ya Lamu faster faster kwa kuingia ubia na Wachina wawajengee Bandari na viwanda.