gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,177
- 1,456
Wakuu,
Tokea jana nimekuwa nikijaribu tutorial za YouTube jinsi ya ku-bypass FRP katika Nokia 1.
Lakini kuna sehemu nafika ambayo yule wa kwenye tutorial inampeleka direct kwenye Google Chrome halafu mimi simu yangu inanipeleka kwenye apps.
Kwenye hiyo picha hapo chini kuna option imeandikwa tap to go to application settings ambapo mimi nikiibonyeza inanipeleka kwenye apps wakati jamaa wa tutorial inampeleka direct kwenye Chrome browser.
Je nakosea wapi? Naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tokea jana nimekuwa nikijaribu tutorial za YouTube jinsi ya ku-bypass FRP katika Nokia 1.
Lakini kuna sehemu nafika ambayo yule wa kwenye tutorial inampeleka direct kwenye Google Chrome halafu mimi simu yangu inanipeleka kwenye apps.
Kwenye hiyo picha hapo chini kuna option imeandikwa tap to go to application settings ambapo mimi nikiibonyeza inanipeleka kwenye apps wakati jamaa wa tutorial inampeleka direct kwenye Chrome browser.
Je nakosea wapi? Naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app