Nakosa mtu wa kuzungumza naye

Nakosa mtu wa kuzungumza naye

Dunia haitaki watu laini, labda vitu laini! Kama unahitaji rafiki wa kweli wa kupiga nae mastori na kupeana nae maujanja! Basi jifunze namna ya kuongea na nafsi yako! Itakupa michoro yote, mida ya kuanzia saa 8-11 alfajiri, utapiga story na kilicho ndani mwako, utapewa siri nyingi na utakuwa ni mwenye furaha! Hapa duniani hatupo kwa ajili ya kupeana faraja Mkuu, kila Mtu ana Mission yake, ikitokea ukajihidi una match na yeyote ujue iko namna una faida ama unatumika na huyo Mtu, sote tupo kwa ajili ya challenges, na ukijiona unaishi na furaha sana watu wako happy na wewe ujue wanakutumia kwa mission zao! Hakuna Muda wa ku relax, labda iwe kwa ajili ya kujipanga na mission zako! Usililie kupendwa dogo! Wa kukupenda wewe ni wewe Mwenyewe. Jifunze ama tafta namna yoyote ya kuongea na nafsi alafu vingine vitakuja vyenyewe na usisahahu kila kitakachokuja ktk maisha yako kina pande mbili, nzuri na Mbaya, chochote kile! Kipokee malizana nacho kisha anza kingine, huna haki miliki ya kujimilikisha furaha, iache Nature ifanye kazi yake! Kuna wakati Miti inaweza kufurahia uwepo wako ama wanyama, na wakati huo huo wanadamu wenzako hawaoni umuhimu wako.
 
Sijui kama ntawahi nafasi🤔🤔mliofika mapema huko piemuni anaeleweka?
 
Niko kwenye late 20's
Ondoa shaka umri bado mdogo, ungekuwa na miaka 35 ndio ungewaza sana, kwa sasa nakupa huu ushauri:-

Anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe, kula vizuri, usiwe muongeaji sana, achana na makundi ya marafiki, jitahidi kuvaa mavazi ya heshima hasa vitenge vya kushona vinavyochora umbo lako vizuri, shiriki ibada pale inapohitajika, wakati mwingine jifanyie tour tu wewe mwenyewe, toka nje ya mji kidogo ubadilishe mazingira.

Ndani ya mwaka mmoja utakuwa umepata mtu sahihi.

Ningekuwa singo, ningekupa kampani​
 
Habari zenu Mimi Nina au ni nini hiki napitia

Iko hivi nakosa mtu wa kua msiri wangu

Nakosa mtu wa kumwambia mapito yangu ambae atanishauri na kunisaidia niweze kisonga mbele hali inayonifanya niwenyonge na mpweke muda mwingi

Nikiwa na shida nikijaribu kumuelezea mtu wangu wa karibu ananiacha na kunitenga nakaa hapo kwenye mapito yangu mwenyewe

Nikiwa na hali nzuri wananipigia simu wananiomba pesa wananisumbua sana kwa simu za salamu.

Nifanyaje niweze kupata watu sahihi hata mmoja tu anisaidie na Mimi aniliwaze aniambie haya yatakwisha ni kipindi cha muda why me jaman mbona sipati LOVE

Nimechoka jamniiii nahitaji kupendwa na Mimi nithaminiwe.
Pole Sana Kwa changamoto za kimaisha , Ila Kwa kweli hakuna mwanadamu anaweza kukufariji Kwa asilimia 100 Kwa sababu tuna madhahifu tunachoka, tunapenda pia tunachukia hivyo kupata Faraja ya kweli mdogo wangu nakushauri tengeneza mahusiano yako na Yesu binafsi na uwe rafiki yake , mweleze shida zako madhahifu yako yetu Yeye anajua namna ya kukusaidia na kukufariji

Dunia tuliyoko Leo hakuna kitu cha bure watu wengi ni wema machoni lakini ndani wamejificha ni mbwa mwitu , badala ya kupata Faraja utapata mateso, maana Faraja ya dunia hii ni ya kitambo Ila Faraja ya Yesu ni ya milele

Nakumbuka wakati nasoma nilitokea kuachwa na mchumba wangu kutokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wetu, Kwa kweli nilijiskia mpweke Sana Hadi ilifika mahali nikaona Shule itanishinda , nikahamua siku moja kwenda kwenye tamsha la wakristo Kwa kweli ilikuwa ndio mara yangu ya Kwanza kukutana na Yesu na tangu siku hiyo sijawai kujiskia mpweke maana yeye ndio mfariji WA kweli

Mengine yanatoka na asili ya Kuzaliwa n mahusiano na ndugu zetu lakini Yesu anakufariji nayo yote, Yale ambayo ukuyapata Kwa wazazi na Yale ambayo hukuyapata Kwa marafiki utayapata kwake

Yesu ni zaidi ya kile kitu naweza kukesha nikisema habaria zake wakati mwingine nilikuwa hata siwezi kusimama mbele ya mwanamke nikimwangalia usoni kutokana na hofu , lakini zote Yesu aliziondoa akanipa ujasiri wake na kila siku namkumbusha udhaifu wangu ili anisaidie maana katika udhaifu wetu Mungu ndipo anapoonekana

Tena Muda wako omba rehema tafuta kitabu za zaburi soma Zaburi 20 , 23, 50, 51 , 91 na 92, 139
 
Dunia haitaki watu laini, labda vitu laini! Kama unahitaji rafiki wa kweli wa kupiga nae mastori na kupeana nae maujanja! Basi jifunze namna ya kuongea na nafsi yako! Itakupa michoro yote, mida ya kuanzia saa 8-11 alfajiri, utapiga story na kilicho ndani mwako, utapewa siri nyingi na utakuwa ni mwenye furaha! Hapa duniani hatupo kwa ajili ya kupeana faraja Mkuu, kila Mtu ana Mission yake, ikitokea ukajihidi una match na yeyote ujue iko namna una faida ama unatumika na huyo Mtu, sote tupo kwa ajili ya challenges, na ukijiona unaishi na furaha sana watu wako happy na wewe ujue wanakutumia kwa mission zao! Hakuna Muda wa ku relax, labda iwe kwa ajili ya kujipanga na mission zako! Usililie kupendwa dogo! Wa kukupenda wewe ni wewe Mwenyewe. Jifunze ama tafta namna yoyote ya kuongea na nafsi alafu vingine vitakuja vyenyewe na usisahahu kila kitakachokuja ktk maisha yako kina pande mbili, nzuri na Mbaya, chochote kile! Kipokee malizana nacho kisha anza kingine, huna haki miliki ya kujimilikisha furaha, iache Nature ifanye kazi yake! Kuna wakati Miti inaweza kufurahia uwepo wako ama wanyama, na wakati huo huo wanadamu wenzako hawaoni umuhimu wako.
Naomba unifundishe jinsi ya kuongea na nafsi yangu au jinsi ya ku meditate
Shukrani mkuu Kwa ushauri mzuri ubarikiwe
 
Back
Top Bottom