Nakosa mtu wa kuzungumza naye

Nakosa mtu wa kuzungumza naye

Kama wewe ni me, basi ni certified mchicha mwiba✅
Mkuu Hembu Weka uhusiano wa mchicha mwiba uliosema na Hali yake,
Vinaingilianaje? BTW nahisi huyu ni KE, Binafsi kuna majina Hata kama ndio sio halisi lakini likikaa ki soft soft naamini tuu huyu ni KE,
Mwanaume unakua na Jina limekaa kigumu gumu.
 
Jichanganye na watu, tembea sehemu hujawai fika, nenda sehemu ambazo watu uenda kutuliza nafsi mfano swimming pool, baharini, ziwani... Badili mazingira. Nenda kwa marafiki, sehemu kama viwanja vya mazoezi ya mpira. Cha msingi fanya macho yashangae shangae, akili inachangamka, kama una marafiki ni vyema kuwatembelea kupiga nao story kuliko kuwapigia simu.

Kama ni upweke wa nyege za mapenzi tafuta mpenzi hapo sokoni kwenu, ilishindikana zaidi jichukulie sheria mikononi 😂
 
20231004_084106.jpg
 
Habari zenu Mimi Nina au ni nini hiki napitia
Iko hivi nakosa mtu wa kua msiri wangu

Nakosa mtu wa kumwambia mapito yangu ambae atanishauri na kunisaidia niweze kisonga mbele hali inayonifanya niwenyonge na mpweke muda mwingi

Nikiwa na shida nikijaribu kumuelezea mtu wangu wa karibu ananiacha na kunitenga nakaa hapo kwenye mapito yangu mwenyewe

Nikiwa na hali nzuri wananipigia simu wananiomba pesa wananisumbua sana Kwa simu za salamu
Nifanyaje niweze kupata watu sahihi hata mmoja tu anisaidie na Mimi aniliwaze aniambie haya yatakwisha ni kipindi cha muda why me jaman mbona sipati LOVE

Nimechoka jamniiii nahitaji kupendwa na Mimi nithaminiwe
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Karibu kwangu
 
Back
Top Bottom