Wewe unatofautiana na mimi kidogo, mimi huwa najiona hakuna mtu mbele yangu.
Yaani kila nikijaribu kutafuta faraja kwa watu huwa nakuwa disappointed, yaani nikimueleza mtu shida zangu huwa naona kama nimejidhalilisha bure, halafu hakuna kilichobadilika.
Yaani najilaumu
Baada ya kugundua ninachokitaka hakipo kwa watu, hii imenifanya niwestrong na kujitegemea mwenyewe zaidi kimawazo.
Japo huwa naomba ushauri kwa mambo mbalimbali, ila sio kwa kutafuta faraja, bali kubalance ninachokifikiria.
So may be you are strong zaidi ya unavyojichukulia.
Mimi sasahivi najiona ndiye ninaetakiwa kuwasaidia wengine kimawazo.