plus_ix
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 580
- 1,422
Habarina wana jukwaa mambo sio mabaya wala mazuri hii ni January
Bila kupoteza wakati moja kwa moja kwenye mada.
Kumekuwa na kasumba ya vijana wengi kwa sasa kudharau mikoa yao waliyotoka kwa kuilinganisha na dar nilikaaa na jamaa zangu waliozamia darslam stori zao zote nikuponda tu mikoa yao waliotoka mara amna sehemu wanapika pizza mara mkoa mzima auna mtu anajua kupika biriana mara hakuna viwanja vikali vya bata mara mkoa umepoa huu siwezi maliza mwezi lazima niondoke
Watu wenyewe wanaoponda mikoa yao huko dar hawana maisha kabisa wanakaa uswahilini tena unakuta mtu kapanga chumba kimoja sebule iyo iyo jiko ilo ilo na chumba cha kulala humohumo lakin kejeri kwa mikoa mengine kama ana kaa ikulu vile wakati kila kutwa anagombania daladala ataela ya bolt hana sas iyo nguvu ya kuzarau mikoa sijuh inatoka wapi wakati fika kuna maisha mazuri yenye ustarabu kushinda ilo jiji lenu la ovyo la kuitwa dar es Salaam
Bila kupoteza wakati moja kwa moja kwenye mada.
Kumekuwa na kasumba ya vijana wengi kwa sasa kudharau mikoa yao waliyotoka kwa kuilinganisha na dar nilikaaa na jamaa zangu waliozamia darslam stori zao zote nikuponda tu mikoa yao waliotoka mara amna sehemu wanapika pizza mara mkoa mzima auna mtu anajua kupika biriana mara hakuna viwanja vikali vya bata mara mkoa umepoa huu siwezi maliza mwezi lazima niondoke
Watu wenyewe wanaoponda mikoa yao huko dar hawana maisha kabisa wanakaa uswahilini tena unakuta mtu kapanga chumba kimoja sebule iyo iyo jiko ilo ilo na chumba cha kulala humohumo lakin kejeri kwa mikoa mengine kama ana kaa ikulu vile wakati kila kutwa anagombania daladala ataela ya bolt hana sas iyo nguvu ya kuzarau mikoa sijuh inatoka wapi wakati fika kuna maisha mazuri yenye ustarabu kushinda ilo jiji lenu la ovyo la kuitwa dar es Salaam