MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
Jamani huyu ni ndugu yangu tunashare mmoja wa wazazi, ni mtu wa matatizo sana. Mpaka leo hii yuko 40+ lakini ni mtu wa drama, from case to case za aina ya utapeli. Huwa pia anatabia ya uzushi na tabia nyingine nzito. Sasa naona umebaki undugu wa maslahi, kila siku ni mtu wa kutaka asaidiwe, yani hata changamoto za kupambana na maisha hana, siku akikujulia hali ujue kuna mzinga unakuja
Nimeamua kukata mahusiano sitaki zaidi ya salamu, naaanza na kublock number yake. Naombeni ushauri na busara zenu kwa uamuzi huu.
Nimeamua kukata mahusiano sitaki zaidi ya salamu, naaanza na kublock number yake. Naombeni ushauri na busara zenu kwa uamuzi huu.